BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo Leo Ijumaa Machi 18, 2022 atazungumza na Waandishi wa Habari kuanzia Saa 5 asubuhi hii kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM (OND) Lumumba Jijini Dar es Salaam.
Mkutano huo utaruka Mbashara kupitia Vituo vya TBC, Channel Ten, Televisheni za Mitandaoni na Mitandao ya Kijamii. Usikose.
Mkutano huo utaruka Mbashara kupitia Vituo vya TBC, Channel Ten, Televisheni za Mitandaoni na Mitandao ya Kijamii. Usikose.