nafikiri sasa Dar Es Salaam ina kamannda wa polisi kilaza kuliko wakati wowote huko nyuma.
Hata wewe unasupport vurugu?
CDM wakikubali kuzuiwa wamekwisha!! Wawalazmishe polisi kutoa ulinzi..
Usibwabwa je tu, polisi watanzania ukitembea kwa miguu unaambiwa unaandamana (kwa wanachadema tu) sasa unategemea nini kwenye mkutano wakesho watu wote watapata magari.....Tuache ushabiki na tufuate taratibu, kilichoombwa ni mkutano na kibali kimetolewa sasa suala la maandamano linatoka wapi? wakati kila mtu natoka nyumbani kwake?
Jamani tubadilike!!! why maandamano si kila mmmoja anatoka kwake kwenda kwenye Mkutano sasa maandamano yanatoka wapi? Please wakati tunakubali mabadiliko tusiache hisisa zitutawale.
Wanzania wote wasio magamba na magamba twendeni tukasikie wawakilishi wetu wametuandalia kauli ipi ya matumaini. Maandamano ya nini sasa.
CDM wakikubali kuzuiwa wamekwisha!! Wawalazmishe polisi kutoa ulinzi..
Hata wewe unasupport vurugu?
Hivi kazi ya Polisi nikusema fanyeni maandano au msifanye..!?Huu ndio ufataani wako nnaousema mimi mara kwa mara. Sasa wewe Kamanda wa Polisi ameshasema wasifanye maandamano, wewe unataka wakafanye maandamo kinyume na maagizo ya Kamanda wa Polisi?
Njoo wewe uwalazimishe Polisi kama unaweza, mbona umejichimbia tu?
Njoo wewe uingie barabarani ufanye maandamano, mbona unawachombeza wenzako tu? Watu kama wewe huwezi kuwakuta hata siku moja kwenye maandamano, umekaa mafichoni huku unawachombeza wenzako. Mbona hatukuoni kuwaambia CCK wafanye maandamano?
Jeshi la polis limepiga marufuka wapenzi wa chadema kufanya matembezi wakati wanaelekea kwenye mkutano wao wa jangwani kesho.
Chanel ten.
Mkuu unanipa wasiwasi unaposema walazimishe! How? Wote tuliona yaliyotutokea Arusha. Bado tupo na walemavu ambao hawawezi kushiriki tena ujenzi wa taifa. Ni wanachama wenzetu wa cdm lakini hawawezi kufika kwenye mikutano yetu! Najua inaumiza sana lakini tutafute namna nyingine ya kufanya na sio kuandamana! Hapa naona wanatafuta sababu ya kuvuruga tukio zima. Bila kujipanga na kuweka tahadhari, tutajikuta tunapiga stori za vurugu, majeruhi na maumivu badala ya mafanikio!
Pia kuna mikutano imeandaliwa huko kusini. Wakiweza kusambaratisha kesho, hata hiyo mingine haitakuwa na mafanikio maana itawatia hofu wananchi na ccm watajaza propaganda hapo kuongeza hofu hiyo. Au wataikataza/kupiga marufuku kwa kisingizio cha vurugu tukarudishwa nyuma!
Nakuelewa unalenga nini na faida zake na natumaini utanielewa pia.
Jeshi la polis limepiga marufuka wapenzi wa chadema kufanya matembezi wakati wanaelekea kwenye mkutano wao wa jangwani kesho.
Chanel ten.
Anataka wakodi malori kama CCM inavyofanya...some tym ukiwa polisi inawezekana na akili inapungua kwenye folder ya akili,,,,,,nimecheka naposoma hii thread,,,,inamaana watapaaa,au anataka asikike na kuonekana kwamba ameongea,,,,,najiuliza watakaoenda wataendaje?????