Kamanda Kova amezuia maandamano ya aina yeyote kufanyika kesho kwa mkoa wa Dar,sababu ni zile zile za uvunjifu wa amani.
Ameruhusu mkutano tu nakusema watashughulikjia mtu mmoja mmoja atakae kiuka agizo hilo.
Source.Channel ten
Kamanda Kova amezuia maandamano ya aina yeyote kufanyika kesho kwa mkoa wa Dar,sababu ni zile zile za uvunjifu wa amani.
Ameruhusu mkutano tu nakusema watashughulikjia mtu mmoja mmoja atakae kiuka agizo hilo.
Source.Channel ten
Nimefurai aliposema mutu mmoja akiandamana atakiona, hivi atajuaje kwamba nipo kwe maandamano ya peke yangu.!labda angesema atakaekutwa na bango barabarani ndio ata dili nae.!
CDM wakikubali kuzuiwa wamekwisha!! Wawalazmishe polisi kutoa ulinzi..
Hata wewe unasupport vurugu?CDM wakikubali kuzuiwa wamekwisha!! Wawalazmishe polisi kutoa ulinzi..
Kamanda Kova amezuia maandamano ya aina yeyote kufanyika kesho kwa mkoa wa Dar,sababu ni zile zile za uvunjifu wa amani.
Ameruhusu mkutano tu nakusema watashughulikjia mtu mmoja mmoja atakae kiuka agizo hilo.
Source.Channel ten
CDM wakikubali kuzuiwa wamekwisha!! Wawalazmishe polisi kutoa ulinzi..
Hata wewe unasupport vurugu?
MMM
si lazima kuandamana, sauti za Jangwani tu zatosha kuamsha waliolala