Mkutano wa jana wa Rais na wafanyabiashara umeonyesha umuhimu wa kuwa na Bunge Live tena

MKEHA

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
714
1,137
Jana ilikuwa ni siku njema sana kwa baadhi yetu tuliozoea kuona mijadala.

Ilikuwa siku ambayo tulii miss sana kwa kitambo kuangalia masuala makubwa yanayohusu taifa na mustakali wa taifa letu.

Yapata miaka mitani sasa tangu tupate flavour kama ya jana.

Kulikuwa na mjadala mkubwa na muhimu kwa ujenzi wa nchi yetu
Kila palipo na mijadala huru mara nyingi suluhu ya matatizo hupatikana.

Nafikiri hata serikali sasa itakuwa imepata fundisho kwa kilicho tokea jana.
Rais Magufuli alikalia kiti akawa kama Spika wa Bunge la Jamhuri. Akapata mawazo toka kwa wabunge wafanya biashara toka kila wilaya.

Jana nilikumbuka mjadala wa wizi wa mabilioni ya ESCROW ambapo mama Anna Makinda aliendesha kikao mpaka usiku wa manane.

Jana kila mtu hakupenda kunanduka toka kwenye runinga yake. Tulikuwa tunajikumbusha utamaduni tulio uzoea hapo nyuma.

Jana ilikuwa siku njema sana kwa wengi wetu tuliozoea mijadala.

Hata humu JF mwelekeo wa mijadala umebadilika sana kwa sababu ya mjadala wa jana.
 
Bandari ya Bagamoyo ni jambo moja tu. Kuna vitu vingi sana mbali na bandari
 
Bunge live.. wewe kituko kweli.. yaani unaonyesha haupo kabisa kwenye area ya biashara.

Jisikitikie

Kwa sasa imeamsha mijadala ya biashara kujadiliwa ma wadau mbalimbali nchini.. muhimu watendaji waweke wazi njia zote watu wanazoweza kuzitumia kutuma maombi tofauti au hata kupata kupata njia ya mfano kuuza yao kwenye masoko ndni na nje ya nchi.

Upande pia wa construction.. wazawa wameanza kufikiria mengi ni serikali kuwapa nafasi na kueasaidia wapate ya kuwafanya wacjukue kazi kuliko kuchukuliwa na wa nje kwenye mengi.
 
Nimesikia Wafanyabiashara wakilalamika kuwa Kikosi maalumu Cha kukusanya kodi kinawanyanyasa. Kodi zinakusanywa na Bunduki. Tuliposema Bungeni Haya Serikali haikuchukua hatua.Leo nimeshangaa kuona Rais eti hakuwa anajua Haya.Aliyeagiza Task Force ya Kodi eti kaishangaa hadharani-Zitto.
 
Nimesikia Wafanyabiashara wakilalamika kuwa Kikosi maalumu Cha kukusanya kodi kinawanyanyasa. Kodi zinakusanywa na Bunduki. Tuliposema Bungeni Haya Serikali haikuchukua hatua.Leo nimeshangaa kuona Rais eti hakuwa anajua Haya.Aliyeagiza Task Force ya Kodi eti kaishangaa hadharani-Zitto.
Hahahahaaaaaa,yaani hawa watu hamnazo kabisa!
 
Sababu asilimia kubwa ni wanaCCM!Bunge lingekuwa na watu wanaoikosoa serikali ipasavyo tusingefika hapa!Nakumbuka walikuwa wanashangilia biashara kufungwa na kibwagizo kuwa ni wapiga deal ndio wanafunga,yako wapi sasa?
Wabunge wa CCM ni cancer!
Cancer kweli kweli yaani tuna bahati Sana kumpata Magufuli angalau kidogo kajitofautisha na wengi
 
Bunge live.. wewe kituko kweli.. yaani unaonyesha haupo kabisa kwenye area ya biashara.

Jisikitikie

Kwa sasa imeamsha mijadala ya biashara kujadiliwa ma wadau mbalimbali nchini.. muhimu watendaji waweke wazi njia zote watu wanazoweza kuzitumia kutuma maombi tofauti au hata kupata kupata njia ya mfano kuuza yao kwenye masoko ndni na nje ya nchi.

Upande pia wa construction.. wazawa wameanza kufikiria mengi ni serikali kuwapa nafasi na kueasaidia wapate ya kuwafanya wacjukue kazi kuliko kuchukuliwa na wa nje kwenye mengi.
Sijui hata kama umemuelewa mtoa mada
 
Mpaka sasa ACT bado hatujatoa taarifa mpya kuhusiana na kikao cha JIWE na wafanyabiashara
20190608_105412.jpeg
 
Bunge live.. wewe kituko kweli.. yaani unaonyesha haupo kabisa kwenye area ya biashara.

Jisikitikie

Kwa sasa imeamsha mijadala ya biashara kujadiliwa ma wadau mbalimbali nchini.. muhimu watendaji waweke wazi njia zote watu wanazoweza kuzitumia kutuma maombi tofauti au hata kupata kupata njia ya mfano kuuza yao kwenye masoko ndni na nje ya nchi.

Upande pia wa construction.. wazawa wameanza kufikiria mengi ni serikali kuwapa nafasi na kueasaidia wapate ya kuwafanya wacjukue kazi kuliko kuchukuliwa na wa nje kwenye mengi.

Wacha wewe!

Makonda oyeee! Magufuli oyeee!
 
Nani mwingine ambaye hajui kucheza na akili za wabongo
Si
Sioni sababu ya kusifia hapa tulikwisha toa warning miezi sita tu baada ya awamu ya tano luingia madarakani kuwa muenendo mnaokwenda nao unasinyaisha sekta binafi lakini hawakujali na wakaendelea kukaza shingo.
Leo hii baada ya uchumi unaelekea shimoni ndio wanasema njoo tuzungumze
 
Bange mbaya sana.
Jana ilikuwa ni siku njema sana kwa baadhi yetu tuliozoea kuona mijadala.

Ilikuwa siku ambayo tulii miss sana kwa kitambo kuangalia masuala makubwa yanayohusu taifa na mustakali wa taifa letu.

Yapata miaka mitani sasa tangu tupate flavour kama ya jana.

Kulikuwa na mjadala mkubwa na muhimu kwa ujenzi wa nchi yetu
Kila palipo na mijadala huru mara nyingi suluhu ya matatizo hupatikana.

Nafikiri hata serikali sasa itakuwa imepata fundisho kwa kilicho tokea jana.
Rais Magufuli alikalia kiti akawa kama Spika wa Bunge la Jamhuri. Akapata mawazo toka kwa wabunge wafanya biashara toka kila wilaya.

Jana nilikumbuka mjadala wa wizi wa mabilioni ya ESCROW ambapo mama Anna Makinda aliendesha kikao mpaka usiku wa manane.

Jana kila mtu hakupenda kunanduka toka kwenye runinga yake. Tulikuwa tunajikumbusha utamaduni tulio uzoea hapo nyuma.

Jana ilikuwa siku njema sana kwa wengi wetu tuliozoea mijadala.

Hata humu JF mwelekeo wa mijadala umebadilika sana kwa sababu ya mjadala wa jana.
 
Back
Top Bottom