Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,279
- 29,779
Tupo hapa kigamboni kwenye mkutano wa mwamposa Kosa kubwa alilolifanya muhubiri ambaye pia ni msaidizi wa ukaribu wa mwamposa ni kumpa mic huyu mkuu wa wilaya wa kigamboni.
Sasa mkuu wa wilaya kaanza kuwatambulisha watu wa CCM huku akimwaga Sera za ccm kuwa mama anaupiga mwingi.
Anasema Nani kama mama Samia. Watu wameanza kuondoka taratibu hata mimi nimetema mate chini nimeamua kuondoka kwenye huu mkutano wa kinafiki kwa mwanvuli wa injili.
Mwamposa hapa umeanza kuharibu, kitendo cha kuwapa viongozi wa kisiasa hawa wa CCM kuanza kupiga promo za kisiasa mbali na tukio lililopangwa huo ni uhuni.
Waende wakasikilize mahibili au aongee maswala ya Mungu sio kuleta maupumbavu kwenye sehemu za kidini
Sasa mkuu wa wilaya kaanza kuwatambulisha watu wa CCM huku akimwaga Sera za ccm kuwa mama anaupiga mwingi.
Anasema Nani kama mama Samia. Watu wameanza kuondoka taratibu hata mimi nimetema mate chini nimeamua kuondoka kwenye huu mkutano wa kinafiki kwa mwanvuli wa injili.
Mwamposa hapa umeanza kuharibu, kitendo cha kuwapa viongozi wa kisiasa hawa wa CCM kuanza kupiga promo za kisiasa mbali na tukio lililopangwa huo ni uhuni.
Waende wakasikilize mahibili au aongee maswala ya Mungu sio kuleta maupumbavu kwenye sehemu za kidini