Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 6,919
- 7,931
I'm jus thinking!
Baada ya Magu atakuja nani,na baada ya Hussein mwinyi atakuja nani tena!?
Nawaza tu yaani!
JESUS IS LORD
Inasemekana wanamuandaa January Makamba
I'm jus thinking!
Baada ya Magu atakuja nani,na baada ya Hussein mwinyi atakuja nani tena!?
Nawaza tu yaani!
JESUS IS LORD
Wabongo wazushi sana walai,Fuatilia historia yake uone,hawataki mtu ambaye aliyezaliwa na kukulia zanzibar 100% ,Dr Shein alitolewa mfukoni mwa Mkapa!! Awali alikuwa hajawai kufanya/kujishughulisha na siasa!!
1997 ndio alitolewa mfukoni mwa Mkapa ,Soma historia acha kupotosha na Historia za Ku edit Wikipedia.Wabongo wazushi sana walai,
1995 - 2000 alikuwa naibu waziri wa afya na mbunge wa kuteuliwa na Dr. Salmin Amour
2000-2001 alishinda uchaguzi na kuwa mbunge na kuteuliwa kuwa waziri ofisi ya rais, katiba na mahusiano chini ya rais Karume
2001 ndio kuteuliwa kuwa makamu wa rais JMT
Mtu hasa wa kumshukuru ni Dr. Salmin Amour maana baada ya kushindwa ubunge 1995 dr Salmin alimteua kuwa mbunge na kumpa unaibu waziri.
Vijana someni historia
1997 kivip maana 1997 alikuwa mbunge wa kuteuliwa zanzibar, Jana kama ulisikia hotuba yake kwenye mkutano mkuu wa CCM mtu wa kwanza kumshukuru alikuwa Dr. Salmin Amour tena akaongezea kusema kwamba aliibiwa kura uchaguzi wa 1995 lakini Dr. Salmin akamteua ubunge.1997 ndio alitolewa mfukoni mwa Mkapa ,Soma historia acha kupotosha na Historia za Ku edit Wikipedia.
Kuteuliwa Ubunge na Komandoo haimaanishi ndio aliomtoa,Muhongo aliteuliwa na Dr Kikwete ,Leo yupo wapi? Magesa Mulongo aliteuliwa na Kikwete leo yupo wapi? Mie nazungumzia aliyempa Maisha ni Mkapa!! Ubunge ukiisha unavuta kiinua mgongo basi ukikinywea pombe imekula kwako lakini kwa ngazi aliyompa mkapa anakula maisha mpaka kifo.1997 kivip maana 1997 alikuwa mbunge wa kuteuliwa zanzibar, Jana kama ulisikia hotuba yake kwenye mkutano mkuu wa CCM mtu wa kwanza kumshukuru alikuwa Dr. Salmin Amour tena akaongezea kusema kwamba aliibiwa kura uchaguzi wa 1995 lakini Dr. Salmin akamteua ubunge.
Nenda youtube tafuta hotuba ya Dr. Shein mkutano mkuu wa CCM
Wewe una matatizo ya kuelewa mtu alikuwa mtumishi wa wizara ya afya akashawishiwa na dr Salmin agombee ubunge, akagombea lakini akashindwa.Kuteuliwa Ubunge na Komandoo haimaanishi ndio aliomtoa,Muhongo aliteuliwa na Dr Kikwete ,Leo yupo wapi? Magesa Mulongo aliteuliwa na Kikwete leo yupo wapi? Mie nazungumzia aliyempa Maisha ni Mkapa!! Ubunge ukiisha unavuta kiinua mgongo basi ukikinywea pombe imekula kwako lakini kwa ngazi aliyompa mkapa anakula maisha mpaka kifo.
Wewe ndio uelewi na una matatizo ya kuelewa kwa sababu ya kutanguliza maslahi ya TUMBO mbele!!! Ubunge hauna kiinua mgongo hadi kifo bali umakamu wa rais unao na ndiyo mkapa aliompa!Wewe una matatizo ya kuelewa mtu alikuwa mtumishi wa wizara ya afya akashawishiwa na dr Salmin agombee ubunge, akagombea lakini akashindwa.
Bado Dr.Salmin akaona haitoshi akamteua kuwa mbunge kwa nafasi zake 5 za uteuzi.
Akamteua na kumpa unaibu waziri kwa miaka 5.
Sasa Mkapa angeweza kumpa umakamu wa rais akiwa mfanyakazi wa wizara na asiye na uzoefu wowote wa siasa?
Kaka umeambiwa pamoja na kuwa mbunge pia alipewa unaibu waziri ,nahisi pia jana haukumsikiliza alichokisemaWewe ndio uelewi na una matatizo ya kuelewa kwa sababu ya kutanguliza maslahi ya TUMBO mbele!!! Ubunge hauna kiinua mgongo hadi kifo bali umakamu wa rais unao na ndiyo mkapa aliompa!
Nibu waziri akimaliza muda wake anaendelea kulipwa 80% mpaka kufa? Ndio katiba inavyosema? Nazungumzia kazi iliyompa maisha , Mawaziri wengi wa awamu ya pili na ya tatu wapo waliochoka tia maji tia maji kwahiyo uwaziri sio issue maana kikatiba hauna fungu la mpaka kifo.Kaka umeambiwa pamoja na kuwa mbunge pia alipewa unaibu waziri ,nahisi pia jana haukumsikiliza alichokisema
Hapa umesema kabla ya Mkapa kumteua alikuwa hajawahi kujishughulisha na siasa.Fuatilia historia yake uone,hawataki mtu ambaye aliyezaliwa na kukulia zanzibar 100% ,Dr Shein alitolewa mfukoni mwa Mkapa!! Awali alikuwa hajawai kufanya/kujishughulisha na siasa!!
Maalim atavuna kura nyingi za wana-ccm. Sioni kama kwa timu ya act mwaka huu watathubutu kumpora ushindi, labda aamue mwenyewe kuuza ushindi.