Happy nation
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 679
- 591
Mimi nimeshidwa kuelewa hivi huo mkutano unaofanyika wa ki chama ndani ya ikulu, nani analipa gharama ni CCM au Ikulu?
Hii ni mara ya kwanza naona, hivi sheria inasemaje kuhusu kutumika mali ya serikali katika masuala ya kichama? Naombeni mnifahamishe.
Hii ni mara ya kwanza naona, hivi sheria inasemaje kuhusu kutumika mali ya serikali katika masuala ya kichama? Naombeni mnifahamishe.