kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Tanzania ni yetu sote hebu tuutangulize utanzania na Mungu mbele.
Tunapofikiria kuzuia maambukizi ya Covid 19 kwa kuzuia mikutano ya kisiasa tufikirie pia kuzuia maambukizi kwenye viwanja vya mpira wa miguu kwakuwa watu ni walewale.
TFF kupeleka mechi ya Simba na Yanga Kigoma kwenye uwanja mdogo sana maana yake kusiwepo na distancing Kati ya watazamaji. Hakuna shabiki wa Simba na Yanga anayeweza kushangilia na barakoa mdomoni. Watu wataanza kuingia uwanjani masaa mengi kabla ya mechi, hivyo hakuna atakaeweza kunywa maji na kula uwanjani bila kutoa barakoa yake mdomoni.
Kama kwenye mpira wanaruhusiwa bila shaka hata kwenye mkutano wa siasa inaswihi pia. Shida ni nini?
Tunapofikiria kuzuia maambukizi ya Covid 19 kwa kuzuia mikutano ya kisiasa tufikirie pia kuzuia maambukizi kwenye viwanja vya mpira wa miguu kwakuwa watu ni walewale.
TFF kupeleka mechi ya Simba na Yanga Kigoma kwenye uwanja mdogo sana maana yake kusiwepo na distancing Kati ya watazamaji. Hakuna shabiki wa Simba na Yanga anayeweza kushangilia na barakoa mdomoni. Watu wataanza kuingia uwanjani masaa mengi kabla ya mechi, hivyo hakuna atakaeweza kunywa maji na kula uwanjani bila kutoa barakoa yake mdomoni.
Kama kwenye mpira wanaruhusiwa bila shaka hata kwenye mkutano wa siasa inaswihi pia. Shida ni nini?