QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Wana CDM wenzangu,
kufuatia mikutano tuliyofanya wilayani Ngara mwezi Mei 2012; CCM nao wameanza kujipima nguvu kwa kuitisha mikutano ya hadhara. ili kukwepa aibu, jana CCM iliitisha mkutano wa hadhara katika kata ya Muganza ambako CDM hatujafanya mikutano rasmi ila katika baadhi ya vijiji tu.
Mkutano huo uliokuwa uhutubiwe na mwenyekiti wa wilaya Helena Adrian akisindikizwa na ofsi yote ya wilaya ya Ngara ilishindikana kufanyika baada ya kupata wananchi wasiozidi 7 (saba) kwenye eneo la mkutano kitu kilichowakatisha tamaa.
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Poleni sana CCM
:flypig:
kufuatia mikutano tuliyofanya wilayani Ngara mwezi Mei 2012; CCM nao wameanza kujipima nguvu kwa kuitisha mikutano ya hadhara. ili kukwepa aibu, jana CCM iliitisha mkutano wa hadhara katika kata ya Muganza ambako CDM hatujafanya mikutano rasmi ila katika baadhi ya vijiji tu.
Mkutano huo uliokuwa uhutubiwe na mwenyekiti wa wilaya Helena Adrian akisindikizwa na ofsi yote ya wilaya ya Ngara ilishindikana kufanyika baada ya kupata wananchi wasiozidi 7 (saba) kwenye eneo la mkutano kitu kilichowakatisha tamaa.
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Poleni sana CCM
:flypig: