mtahangaika sana lakini ukweli unabaki palepale kuwa ACT imewashika sehemu nyeti. mmebaki kulalama tu humu. kama huo ubunge huwa mnatoa nyinyi mko sahihi lakini kama kila mmoja anashiriki mtashangaa hiyo october. tukutane oktoba.
bwt mbona hamna hata kapicha? au kumedoda?
mbona humalizii unaona aibu ya nini? ACT ipi? Wazalendo au Tanzania? Haaaaahaaa, mnachekesha kweli ondokeni kwenye nyumba ya watu acheni kufanya ukarabati kwenye makazi ya watu wenyewe hawataki jamani.