Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,568
- 217,921
picha si lazima ila ni muhimu .
Ndg wana JF na watanzania kwa ujumla, leo kutakuwa na mkutano mkubwa sana wa hadhara wa Chadema hapa kahama maeneo ya CDT. Mbunge wa Arusha mjini kamanda mpambanaji Godbless Lema atakuwepo kuwajaza ujasiri watu wa huku. Pia ataambatana na m/kt wa Bavicha taifa kamanda Patrobass K.Paschal.
Kama ilivyoada ya JF iliyojaa wawakilishi kila kona ,itakuwa nawe moja kwa moja toka eneo la mkutano.
Ungana nami Sir. E.J.Buyamba, m/kt wa vijana jimbo la Msalala mkoani Shinyanga nikiwa na makamanda wengine kibao ktk kuhakikisha hakiharibiki kitu.
Karibuni sana!!.
ALIANZA MNYIKA , KAFUATA MBOWE ; KAENDA MH LEMA
KABAKI MH IBRAHIMU LIPUMBA;
SOMO HALIJAELEWEKA; WATU MKOA WAOTE NI ACT-WAZALENDO
huu muziki ndo unawatia wenge si tupo Dar; Tuankuja baada ya ya operation fyeka msitu , sasa ni operation andaa palizi
habari za ubunge wasahau kabisa
Linaweka habari halafu halitoi mrejesho hata ka-picha tu hakuna! Majitu mengine sijui yakoje!!
zitto hawezi kupata ubunge nchi hii , hakuna mahali hawajui kuhusu usaliti wake , hicho ndio usichokijua .
Habari za ubunge wasahau kabisa
kwanza muulize wamepata wanachama wangapi ?
Najiuliza kila siku hivi act ndio mdudu gani huyo?
picha si lazima ila ni muhimu .
Mkuu ni pm basi wasap namba yako nikurushie picha ili uzibandike hapa. Hawa vitukuu wa ccm wanaweza chonga sana ili hali wanajua kabisa mtu huwezi jisingizia ajali kwa sababu isiyo ya msingi kama hii.