Mkutano wa Godbless Lema - Kahama, Shinyanga 28 April, 2015

Dah!! Mkutano umefurika sana. Chombo changu kinagoma kurusha picha. WanaJF tuliopo hapa naomba asaidie kuweka picha ya huu umati. Kamanda Lema gari lake lilipata pancha maeneo ya Misungwi ndio maana mpaka sasa hajafika. Hata hivyo taarifa ni kuwa yuko around.
 
Shamrashamra zimeanza hapa mkutanoni. Ameanza kuweka sawa watu hapa kamanda Leonard Mayala, diwani wa kata ya Nyasubi.
Anasema serikali yetu ina mawaziri wengi sana wakati uwezo wa kujigharamia ni mdogo. Anatolea mfano wa mtu mwenye duka la laki 6 halafu aweke wauzaji saba kwa wakati mmoja.

Analalamikia pia uwepo wa sikukuu nyingi za kitaifa. Ktk mwaka wenye siku 365,kuna jumla ya siku za wikiendi zaidi ya mia. Ukijumlisha na hizi za may mosi n.k zinafikia karibu mia mbili.
Picha tutawaletea muda si mrefu. Pia wageni rasmi nao wako karibu kufika.

..huko kanda ya ziwa mnatakiwa muwaelimishe jinsi DHAHABU yao ilivyotafunwa na CCM.

..waelezeni thamani ya dhahabu iliyokwisha chimbwa halafu kiasi ambacho serikali/CCM imepata, na kiasi ambacho wao wananchi wamepewa.

..baada ya hapo muwaeleze kwamba mchezo huo huo umefanyika kwenye tanzanite, na rasilimali nyingine nyingi ktk kila eneo la nchi hii.

..pia muwakumbushe kwamba DHAHABU ingeweza kuendeleza kanda ya ziwa pamoja na maeneo mengine yote yenye matatizo nchi hii.

..waelezeni wananchi kwamba CCM ingesimamia vizuri rasilimali zetu basi nchi ingeweza kujenga viwanda wananchi wapata ajira na kuongeza thamani ya pamba, zahanati, shule, na hospitali zingeweza kujengwa, etc etc.

..baada ya hapo muwaeleze kwamba CDM inataka wananchi wa Tanzania nzima wafaidike na rasilimali zinazopatikana hapa nchini. muwaeleze kwamba kuendelea kuichagua CCM ni sawa na kubariki dhuluma na ufujaji uliofanyika ktk miradi ya dhahabu, tanzanite, na mingine.

cc Chademakwanza
 
Last edited by a moderator:
ALIANZA MNYIKA , KAFUATA MBOWE ; KAENDA MH LEMA

KABAKI MH IBRAHIMU LIPUMBA;

SOMO HALIJAELEWEKA; WATU MKOA WAOTE NI ACT-WAZALENDO


huu muziki ndo unawatia wenge si tupo Dar; Tuankuja baada ya ya operation fyeka msitu , sasa ni operation andaa palizi
attachment.php

Najiuliza kila siku hivi act ndio mdudu gani huyo?
 
usikonde kamanda cdm haitaacha kitongoji hata kimoja , tunataka kutokomeza kabisa rushwa ya wali maharage hapo dodoma, tunataka mtu asipewe kura kwa sababu ya aibu ya kudhalilishana kwa wali kitumbo na maharage ya njano .

Mje hata huku Mpanda
 
ALIANZA MNYIKA , KAFUATA MBOWE ; KAENDA MH LEMA

KABAKI MH IBRAHIMU LIPUMBA;

SOMO HALIJAELEWEKA; WATU MKOA WAOTE NI ACT-WAZALENDO


huu muziki ndo unawatia wenge si tupo Dar; Tuankuja baada ya ya operation fyeka msitu , sasa ni operation andaa palizi
attachment.php

Mkibahatika angalau kupata diwani mshukuru mungu
 
R.B wewe ni mwanachama mtiifu wa CCM na hua unaripoti ziara za katibu mkuu wako,The Dentist

Wewe huyu umeonekana kuwa na mahaba sana na chama cha zito.

Tunaomba utujibu...kuna link gani kati ya CCM na chama cha zito? mbona wewe mwanaccm umekuwa ripota mkuu wa matukio ya chama cha act?

Pia kwa ajili ya kuweka kumbukumbu sawa.....Mnyika ameenda shinyanga hata kabla mshirika wenu zito hajaenda shinyanga.....Pia Mheshimiwa Mbowe ameenda mkoa wa Simiyu kata ya Itilima na sio mkoa wa shinyanga.

Sasa mkuu...tunahokuomba uelewe ni kwamba CDM imejengwa katika misingi imara sio katika mihemko kama mihemko ya balehe
 
kumpata Mh Lema kwa wana kahama hiyo naihesabu kama bahati kubwa mno ! itumieni ipasavyo , huyu mtu ni kiboko ! huyu ameua na kuteketeza kabisa ccm Arusha , amesababisha kuvaa sare za ccm arusha kuwa ni mojawapo ya aibu za binadamu , ni sawa na kutembea bila nguo ! hakika wana kahama mmebahatika sana .

Sasa hivi ccm wanatoka na nguo kwenye mkoba mkutano ukiisha wanaenda chooni kubadili
Ni aibu kuvaa nguo za ccm
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom