Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,635
- 218,069
kumpata Mh Lema kwa wana kahama hiyo naihesabu kama bahati kubwa mno ! itumieni ipasavyo , huyu mtu ni kiboko ! huyu ameua na kuteketeza kabisa ccm Arusha , amesababisha kuvaa sare za ccm arusha kuwa ni mojawapo ya aibu za binadamu , ni sawa na kutembea bila nguo ! hakika wana kahama mmebahatika sana .