Wakuu kesho Dr W Slaa atakuwa na mikutano miwili jijini Arusha.Mkutano wa kwanza utaanza saa nne asubuhi Mbauda sokoni na mwingine utafanyika saa tisa Kijenge.
Dr W Slaa ataambatana na makamanda wafuatao Mabere Marando,Mzee Ndesamburo,F Mbowe na mgombea ubunge Arusha mjini Bwana G Lema.
Tafadhali sana tuhudhuria mkutano wa Dr W Slaa.
Angalizo hakutakuwa na magari ya kusomba watu kama ilivyokuwa mkutano wa jana wa CCM.
hizi hapoNaomba picha za mikutano ya Dr. Slaa Arusha leo.
akutumia muda pia kumjibu sita kuwa hawezi kufanya mdahalo na yeye (dr slaa) maana siyo size yake...akafanye mdahalo na wagombea ubunge wa chadema....ila akataka ajibu maswali haya kwanza: alitumia mil 150 ya serikali kununua furniture za ofisi ya bunge huko kwao na akahoji ni kigezo gani alikitumia kuamru ijengwe ofisi za mbunge huko kwao nilini ulisikia kuna kikao cha bunge huko tabora
akutumia muda pia kumjibu sita kuwa hawezi kufanya mdahalo na yeye (dr slaa) maana siyo size yake...akafanye mdahalo na wagombea ubunge wa chadema....ila akataka ajibu maswali haya kwanza: alitumia mil 150 ya serikali kununua furniture za ofisi ya bunge huko kwao na akahoji ni kigezo gani alikitumia kuamru ijengwe ofisi za mbunge huko kwao nilini ulisikia kuna kikao cha bunge huko tabora
hizo nilizo post hapo juu ni cha mtoto kwani huko kimandolu ilikuwa balaa watu walikuwa wengi mno...gonga hapo chiniKwa hiyo nyomi ya Arusha nakubali UHURU wa Tanzania utapatikana.
Amesema akiwa rais atahakikisha bei ya bati na cementi inachuka mpaka chini ya 5000 iliwatu waweze kujenga nyumba za kudumu, serikali yake haitakuwa na anasa kama ya ccm, na wafujaji wa mali za serikali hatacheka nao ni kuwakamata na kuwapeleka mahamani....Ndugu wapenzi, Vipi yaliyojiri katika mkutani huo? tafadhali tuna kiu ya updates -- hasa alichokisema Dr Slaa katika mkutano. Mbona tunayimana habari kiasi hicho?
Kijenge ni balaa tupu Slaa kaingia na ice kasema anatoa mfano jinsi gani hata tumia migari ya kifahari kwenye serikali yake. Watu wengi mno . Anatisha na watu kweli wamechoka na ccm.ndugu Ngongo hali ya ccm ni mbaya sana hivyo wanatumia njia yoyote kuvuruga mikutano lakini kwa umati niliouona CCM inangoka...siyo tamasha hilo tu hata pale Shikh Amria beid napo kuna tamasha sijaua ni la nini...
Na wakati tunatoka kwenye mkutano kila sehemu tulikuwa tunashangiliwa huku watu wakiimba "CCM tumeichoka" mpaka kwenye hotel aliyofikia Rais...Kweli watu wa arusha wameonyesha wamko wa hali ya juu na wameichoka...Kijenge ni balaa tupu Slaa kaingia na ice kasema anatoa mfano jinsi gani hata tumia migari ya kifahari kwenye serikali yake. Watu wengi mno . Anatisha na watu kweli wamechoka na ccm.
Hapa Arusha wameonyesha kumkubali kwa sana naamini tarehe 31-10-2010 watampigia ili nchi hii akomboe...Rais wangu Dr wa ukweli anatisha. Hata udokta alipata kwa uhalali (alikaa darasani). Tumpe kula jamani