nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
wezi ni wepi? Mkuu acha ulevi!ninyi mnaoungana na wezi ni akina nani? mbona hoja hamjibu?
wezi ni wepi? Mkuu acha ulevi!ninyi mnaoungana na wezi ni akina nani? mbona hoja hamjibu?
Mbaazi zisipozaa husingizia jua.
Hivi ajira yenu ni majungu na uchonganishi tu humu jf? Hivi nyie cdm mnalaana gani
Ebu mods ondoeni huu uchafu, story za kutungwa.
TUNTEMEKE
SIXGATES ndio wanaongoza hayo mashambulizi
ina maana akili zote za wana kigoma amekabidhiwa zitto? Kama ni hivo wana kigoma wanaitajiwa msaada zaidi wa fikra!mbumbumbu atajulikana tu, si mnapima upepo ili mjue kama akifukuzwa athari yake ni nini-karibuni sana KIGOMA
Kama mabadiriko sawa mimi nilidhani mabadiliko.hawawezi kuyazuia mabadiriko na zitto keshaumbuka, watu wa kigoma wanajua ukweli wa mambo sio mambumbumbu na zitto wameshamjua vizuri
kwa hiyo kazi yako ni kutoa amri hapa jf? Pole sana shabiki wa zitto!Ebu mods ondoeni huu uchafu, story za kutungwa.
Kama mabadiriko sawa mimi nilidhani mabadiliko.
kisa zitto kanyang'anywa cheo chadema, hayo matope ,akili? Nimeamini zitto na ccm walikuwa kwenye ndoa ya siri!Chadema mmeshindwa kujiongoza, tutawaongoza.
Chadema mmeshindwa kujiongoza, tutawaongoza.
Mbaazi zisipozaa husingizia jua.
kisa zitto kanyang'anywa cheo chadema, hayo matope ,akili? Nimeamini zitto na ccm walikuwa kwenye ndoa ya siri!
Hivi ajira yenu ni majungu na uchonganishi tu humu jf? Hivi nyie cdm mnalaana gani