lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,408
- 25,587
Mkuu,wanaweza hata kuhutubia wakiwa peke yao..na wakatupa livebado wataingilia tu , umesahau ya makonda na warioba pale ubungo plaza?
Mkuu,wanaweza hata kuhutubia wakiwa peke yao..na wakatupa livebado wataingilia tu , umesahau ya makonda na warioba pale ubungo plaza?
Kahama ni kmji kadogo lakini ni tishio kwa siasa dhidi ya chama cha rangi ya bangiDictatorship,maisha ni siasa na siasa ni maisha.
Mbona mbeya,Arusha hawafanyi hivo?
Haitamake sense mkuu, crowd ni hamasa ,siasa ni mikutano, kwenye tv kuna vitu wanalimit na wahariri huwa wana edit kuogopa SIRIKALI,..kitu ambacho hakitamobilise raia katika kujitambuaMkuu,wanaweza hata kuhutubia wakiwa peke yao..na wakatupa live
Huo ni uoga..na ubakaji wa demokrasia. ..magamba na Magufuli wenu ni watu wa kukurupuka.Nalipongeza jeshi la polisi!
Una maana hadi leo raia wa Tanzania bado hawajajitambua hadi makengeza akawahutubie!? Aaaa Kamanda maskhara hayo. Acheni kutafuta kiki nendeni bungeni mkafanye siasa za ustaarabu.Haitamake sense mkuu, crowd ni hamasa ,siasa ni mikutano, kwenye tv kuna vitu wanalimit na wahariri huwa wana edit kuogopa SIRIKALI,..kitu ambacho hakitamobilise raia katika kujitambua
Hatujakuta siasa za kijinga namna hii, mpaka mbunge anaonyesha alama ya Ishara ya tusi kwa kidole! Huo ujinga huo.Acha upunguani wew kuna mda maalumu wa kufanya siasa? siasa ni maisha yako yote ,umezaliwa umeikuta ,umevunja ungo bado ipo, umewekwa ndani bado ,unataka nini wewe?
Kama wale waliosambaratishwa leo na mirasta michafuuuu! Yaani, usoni wanaonyesha wamekolea bangi na viroba kinoma! Hao ndio wapiga kura wa chadema!Kahama ni kmji kadogo lakini ni tishio kwa siasa dhidi ya chama cha rangi ya bangi
This game does not need furious CCM mbele kwa mbele
unapongeza uwoga wa kisiasaNalipongeza jeshi la polisi!
Waongo tu, unadhani Yale yanatoka moyoni mwa wapinzani kweli kweli!? Wanafiki sana.Hafu kama wapinzani mnawapigia kelele Serikali waongeze Mishahara Na Malupulupu kwa jeshi la Police!
Hata wewe one day you must go.Wana JF,
Yaani hawa mapolisi wetu vihiyo wameshindwa na majambazi huko Mpangoni Mwanza na Tanga wanakimbilia kupiga mabomu Wananchi kwelii???
Kama kweli hizi habari ni za kweli basi Magu a.k.a JPM hana tofauti na KURUNZINZA WA BURUNDI!
Watu tulisema sana mwaka jana wakti wa kampeni kuwa John Pombe Magufuli was just another Dictator in a making.
Sasa matokeo yake ndiyo haya. Hata hivo hapana marefu yasiyo na ncha there is a day he must go whatever may. Mungu si Athumani wala Abdulla.
Mungu ibariki Kahama, Mungu ibariki Tanzania na Afrika yetu.
Mkuu,hata kurusha moja kwa moja wata edit vipi??hiyo ndio alternative..ni vyema tu ukaelewa kuwa haupo mkutano wowote utakao ruhusiwa iwe kesho au kesho-kutwa..Haitamake sense mkuu, crowd ni hamasa ,siasa ni mikutano, kwenye tv kuna vitu wanalimit na wahariri huwa wana edit kuogopa SIRIKALI,..kitu ambacho hakitamobilise raia katika kujitambua
Wananchi au wahuni tu hao.Wananchi walihudhuria mapema hapo ilikuwa saa saba mchana
Hahaha well i can't deny ThatI can sense a literal interpretation from Kiswahili into English .