rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,442
Siasa zinatakiwa zenye kuleta maendeleo sio kuuza sura eti op Sijui Linda Demokrasia! Kama kungekuwa hakuna Demokrasia wao wangechaguliwaje kuwa wabunge wakati hakuna Demokrasia?Mm mpaka sasa sijajua wanachogombania ccm na vyama vingine kwenye hii nchi. Kila siku polisi mara bungeni shida. Mara wamezuiliwa hiki mara kile hapana. Nini shida kwani jamani? Kama siasa hazitakiwi nchini mwetu waseme tu ili watu wafanye mengine