Unafanyikia wapiusiongope zinakuja
usiongope zinakuja
Sasa yeye anataka mtoto wa kikwete aje shule za kata? Hatuwezi kulingana uwezo, cha muhimu ajikite kutueleza chadema kitatutatulia vipi haya matatizo. Elimu inatolewa kulingana na mfuko wako Pookie pale duniani hivo asiwadanganye wananchi.
usiniletee mambo ya tahira, tuliambiwa hakuna mtoto atakaerudisha kwa kukosa ada, je jiulize hawarudishwi