mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Kwa walioko Arusha hebu mtujuze kuhusu taarifa za mkutano wa hadhara wa CHADEMA unaotangazwa huko.
Je unafanyika lini? Jumamosi au Jumapili hii?
Ni akina nani watakuwa wanenaji wakuu na mada ni nini?
Tuko nje kidogo ya mji ila tungependa kuwa updated.
Je unafanyika lini? Jumamosi au Jumapili hii?
Ni akina nani watakuwa wanenaji wakuu na mada ni nini?
Tuko nje kidogo ya mji ila tungependa kuwa updated.