Mkutano wa CHADEMA Arusha - Nov 29, 2013

Tatizo la Zitto anashindana na Watoto wa Mjini.Wenzake wamekujilia Mjini wakati yeye kafika kwa Treni akiwa na Mfuko wa Rambo kutokea Kigoma.Hata Sugu tu anamzidi Ujanja.

Zitto VS Mbowe,Slaa,Mnyika,Sugu,Lema,Msigwa,Lissu,Wenje,Mtei n.k Halafu unasema Sugu kamzidi ujanja?!! Lakin wajanja wako bado wamepagawa mara wanatangaza kufunga mjadala mara wanaufungua kinyemela.Wameshamaliza Substitution yote Mwenzao hata Sub moja hajafanya bado.
 
Zitto VS Mbowe,Slaa,Mnyika,Sugu,Lema,Msigwa,Lissu,Wenje,Mtei n.k Halafu unasema Sugu kamzidi ujanja?!! Lakin wajanja wako bado wamepagawa mara wanatangaza kufunga mjadala mara wanaufungua kinyemela.Wameshamaliza Substitution yote Mwenzao hata Sub moja hajafanya bado.

Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo?
 
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU

Wakati gazeti la uhuru hata bure silichukui,na lina return za kufa mtu daily.wewe endelea kusoma mzalendo,uhuru,habari leo,jambo leo na yenye mlengo wa kifisadi.lkn kwenye hili inatushangaza wengi,kwanini maccm mnasikitika ZZK kuvuliwa vyeo vyake?
 
"Kiongozi Mkuu yuko too local" - waraka

Nimecheka sana ulichoandika hapa...! Nway, nackia 2015 unataka kugombea JIMBO letu karibu sana ila kwa michango yako humu JF nahisi utakuwa 1 ktk kuGONGA MEZA BUNGENI km alivyokuwa PAWA SEMINDU ntakuwa nkufuatilia utakapoanza kujipitisha Vijjini huko kwenye Kampeni zako manake nyie wa2 wa CCM mnawadharau sana watu wa VVJINI !
 
Big up makamanda.Ila tunawaomba msizisahau barabara za KWA MOROMBO TAFADHALI KWANI ZINA HALI MBAYA SANA
 
Umesoma hii kutoka matawi 189 ya chadema Mwanza?

Maamuzi ya kamati kuu ya tarehe 20-21 /11/2013 ya kuwavua uongozi Mh: Zitto Zuberi Kabwe, Dr. Kitila Mkumbo na Ndg Samson Mwigamba, kumeonyesha dhahiri si woga tu wa Demokrasia bali ni unafki na Uzandiki wa hali ya juu sana kwa viongozi wetu kuikwepa Demokrasia kwa kisingizio cha kusaliti na uhaini ndani ya chama. Katiba yetu imeweka wazi Ibara ya 6 Kifungu cha 3 kipengele cha 6. (a – f) Mamlaka za nidhamu na uwajibishaji ndani ya chama. Kulikuwa na haraka gani ya kufanya maamuzi bila kufuata taratibu hizi kwa viongozi hawa, tuonavyo sisi baadhi ya wanachama huo ni umangi meza na udhalilishaji wa kibaguzi ndani ya chama kwa viongozi wetu waliotumia nguvu zao na akili nyingi sana kukijenga chama.
Source: Tamko la chadema Mwanza
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom