Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
- Thread starter
- #21
Golugwa;
chama kipo imara na mpaka sasa wasaliti 4 wameshashughulikiwa bado 45 maana walikuwa 50 sasa habakizwi msaliti hata kama kuna watakaoamua kuwafuata maana hata shetani alifuatwa na mapepo machache hilo haliwezi kututisha hata kidogo tunasonga mbele maana tunatumikia shauri la Mungu na daima Mungu huwa anashinda!
chama kipo imara na mpaka sasa wasaliti 4 wameshashughulikiwa bado 45 maana walikuwa 50 sasa habakizwi msaliti hata kama kuna watakaoamua kuwafuata maana hata shetani alifuatwa na mapepo machache hilo haliwezi kututisha hata kidogo tunasonga mbele maana tunatumikia shauri la Mungu na daima Mungu huwa anashinda!