leo ccm na mbunge wao kebwe wamefanya mkutano hapa serengeti ambao ni mkutano wao wa pili tangu uchaguzi uishe. viongozi wa ccm waliokuwepo ni chand-mneki,mbunge na wengine.
Mkutano huu umefanyika kwa sababu jana chadema walifanya mkutano mkubwa sana ambao ulihutubiwa na aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la serengeti mwl marwa chacha na mwkt wa vijana Wilaya ya trm chacha heche. Hoja za mwl marwa ambaye kwa sasa ni diwani wa kata ya stendi kuu ni kama ifuatavyo.
1. Madiwani wa ccm kujichukulia zabuni zote za miradi mbalimbali ikiwemo ukusanyaji wa ushuru kwenye minada na masoko pamoja na kujenga majengo na makalvati ambayo yako chini ya kiwango na tayari kuna hoja ya CAG.
2.madiwani kushiriki zoezi la uchakachuaji wa pembejeo.
3.kuna makampuni yanayokwepa kulipa vshuru wa zaidi ya 1bilioni yakisaidiwa na baadhi ya madiwani wa ccm ambao kwa sasa ni matajiri sana mfano diwani wa nata.
4.kutoza ushuru wa mbogamboga na matunda ambao uliishaondolewa waziri mkuu bungeni.
5.kutumia milioni mia mbili kila mwaka kulipanaposho
Mkutano huu umefanyika kwa sababu jana chadema walifanya mkutano mkubwa sana ambao ulihutubiwa na aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la serengeti mwl marwa chacha na mwkt wa vijana Wilaya ya trm chacha heche. Hoja za mwl marwa ambaye kwa sasa ni diwani wa kata ya stendi kuu ni kama ifuatavyo.
1. Madiwani wa ccm kujichukulia zabuni zote za miradi mbalimbali ikiwemo ukusanyaji wa ushuru kwenye minada na masoko pamoja na kujenga majengo na makalvati ambayo yako chini ya kiwango na tayari kuna hoja ya CAG.
2.madiwani kushiriki zoezi la uchakachuaji wa pembejeo.
3.kuna makampuni yanayokwepa kulipa vshuru wa zaidi ya 1bilioni yakisaidiwa na baadhi ya madiwani wa ccm ambao kwa sasa ni matajiri sana mfano diwani wa nata.
4.kutoza ushuru wa mbogamboga na matunda ambao uliishaondolewa waziri mkuu bungeni.
5.kutumia milioni mia mbili kila mwaka kulipanaposho