Mkutano wa CCM sanawari Arusha.Watu walikuwa wakiombea viti hata wapumzike tuu.

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,195
Haha..jamani CCM imekufa vibaya arusha.Kuna taarifa CCM walikuwa na mkutano sanawari wakiwa na mahema mawili madogo kabisa na viti chini ya 50.Ila walikuwa wakiomba watu waje kukaa ktk viti hata kupumzika tuu.Bdo watu walichomoa.

Mwenye picture ktk huo mkutano tunaomba aziweke.
 
Viti vilivyokaliwa vilikuwa havizidi 20.
Nilidhani ni kikao cha familia.... Kumbe mkutano wa ccm!!!
Haha..jamani CCM imekufa vibaya arusha.Kuna taarifa CCM walikuwa na mkutano sanawari wakiwa na mahema mawili madogo kabisa na viti chini ya 50.Ila walikuwa wakiomba watu waje kukaa ktk viti hata kupumzika tuu.Bdo watu walichomoa.

Mwenye picture ktk huo mkutano tunaomba aziweke.
 
kaaazi kwelikweli......
mizigo chakavu yashindwa kupata soko arusha.

kama vipi pelekeni dampo hiyo ishakuwa bidhaa haramu.

yaani ndg zao mnaua halafu mnajifanya kuwafuata waliobaki ili na wao mmalizie kabisa.

wamemishitukieni....
safi sana arusha.
 
Haha..jamani CCM imekufa vibaya arusha.Kuna taarifa CCM walikuwa na mkutano sanawari wakiwa na mahema mawili madogo kabisa na viti chini ya 50.Ila walikuwa wakiomba watu waje kukaa ktk viti hata kupumzika tuu.Bdo watu walichomoa.

Mwenye picture ktk huo mkutano tunaomba aziweke.
Hili ndio tatizo lenu mnaanzisha mada bila ushahidi, Ndio maana hata Slaaa alidanganya kwamba CCM imemfanyia fujo kigoma leo ngozi wa wilaya Kasulu wanaukuzana.......ngumu sana CDM kushika Dola dogo kwa kuongea uongo.
 
Maisha yamekuwa magumu sana siku hizi kwahiyo watu hawana muda wa kupoteza kwenda kwenye mikutano ya ccm kusikia uongo usio na nyuma wala mbele
 
Back
Top Bottom