Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Haha..jamani CCM imekufa vibaya arusha.Kuna taarifa CCM walikuwa na mkutano sanawari wakiwa na mahema mawili madogo kabisa na viti chini ya 50.Ila walikuwa wakiomba watu waje kukaa ktk viti hata kupumzika tuu.Bdo watu walichomoa.
Mwenye picture ktk huo mkutano tunaomba aziweke.
Mwenye picture ktk huo mkutano tunaomba aziweke.