god with us
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 391
- 100
Noumr saaaaaana
Hakuwa mkutano wa ccm bali ulikuwa mkutano wa Mizigo.
Arusha toka uhuru had xaxa imeongozwa na chadema na ndio maana kuna maendeleo mnayoyaona!!!!! Teh teh teh very interestng story, mnaongozwa na chuki 2 ilyopandkzwa juu yenu..2015 chadema ishke dola jaman mbona mtafurah wenyewe.. kwny taasisi ndogo kama chama imeshndkana, kwny nch kubwa kama Tz ambao hawana destur ya kushukuru hata kwa kdogo klchopo itaweza lazima.
Haha..jamani CCM imekufa vibaya arusha.Kuna taarifa CCM walikuwa na mkutano sanawari wakiwa na mahema mawili madogo kabisa na viti chini ya 50.Ila walikuwa wakiomba watu waje kukaa ktk viti hata kupumzika tuu.Bdo watu walichomoa.
Mwenye picture ktk huo mkutano tunaomba aziweke.
Ngoja nikachukue gomba mtaa wa Bondeni kisha nikapumzikie hapo huku nikichanja taratiiibu!
HAAHAAAAAHAAAA TEHEHEEEEEE KWEKWEEEEE,Sio rahisi kuelewa wala kuelimika,tatizo lako ni "mind rigidity", achia mind iwe "flexible" kwa akili ya Kawaida unaweza kumlinganisha Lema na Wabunge wako wa CCM? Mungu akufungue kutoka kifungoni uwe huru. Sina Mda tena wa kujibishana na Wewe maana unaonesha wazi kua Mind yako inahitaji General re-structuring, anza kujisomea inspiration books kama "The Power of Positive Thinking,Think Big Become Reach etc ili ukomboke kifikra.