MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
Hivi dhumuni la mkutano ni nini haswa? Unaposema unazungumzia mustakabali wa nchi na hali ya uchumi kwani ni chama gani kianchoongoza serekali? Nafikiri wenye nafuu ya maisha ambao kwao sukari ni 700.00,unga 600.00,mafuta ya taa 1000.00 ndio wanastahili kwenda ili kutuonyesha hayo mafanikio yalioletwa na nyinyiem !