Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa wa Agosti 29-30 wapelekwa september 3 and 4

Ebale

JF-Expert Member
Apr 20, 2016
943
1,682
Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa uliokuwa ufanyike Agosti 29-30 kujadili hali ya kisiasa nchini umesogezwa mbele hadi Septemba 3-4 ili kutoa fursa kwa wazee mashuhuri kuhudhuria.
 
Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa uliokuwa ufanyike Agosti 29-30 kujadili hali ya kisiasa nchini umesogezwa mbele hadi Septemba 3-4 ili kutoa fursa kwa wazee mashuhuri kuhudhuria.
Basi ngoja tuishauri Freeman Aikaeli Mbowe, ayasogeze mbele maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima iwe kuanzia September 5.

Pasco
 
Haiwezekani watu waishie kupiga rehearsal tu halafu show iahirishwe.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hahahaha, Polisi wapo Hoi na majambazi! Doh kazi kwelikweli
 
Basi ngoja tuishauri Freeman Aikaeli Mbowe, ayasogeze mbele maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima iwe kuanzia September 5.

Pasco
Huo ni ushauri mzuri maana UKUTA unategemea matokeo ya huo mkutano
 
Hao wanataka kuivusha tarehe 1/9 kwa kuwa dunia itakuwa tz, maandamano yapo palepale
 
..hoja ya Raisi kwamba Mbowe afanye siasa Hai tu na asitoke nje ya huko ina ukakasi wa kikabila.

..ukumbuke hoja hiyo Raisi aliijenga akiwa kwao Geita na wakati mwingine alikuwa akizungumza Kilugha.

..sasa vyama vya siasa vinapanga kikao cha kujadili hoja za namna hiyo kama zina uhalali au la?
 
Back
Top Bottom