Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Bado shamra shamra zinaendelea hapa Ruaha Kilombero, na leo katika viwanja vya benki ya NMB, mgombea mwenza wa urais kupitia ukawa Juma Duni atakuwepo hapa kumwaga sera. Watu wapo hapa sasa wanacheza musiki kwenda mbele.
Nitawapa updates
Nitawapa updates