Zanzibar 2020 Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama cha Wananchi (CUF) umempitisha Mussa Haji Kombo kuwa mgombea wa Urais Zanzibar kwa tiketi ya CUF

CUF Habari

JF-Expert Member
Dec 12, 2019
239
234
Screenshot_20200728-063720.png

MKUTANO MKUU WA TAIFA WA CUF CHAMA CHA WANANCHI UMEMPITISHA MUSSA HAJI KOMBO KUWA MGOMBEA WA URAIS ZANZIBAR KWA TIKETI YA CUF

Mkutano Mkuu Maalum wa Chama cha Wananchi (CUF) umempitisha Mussa Haji Kombo kuwa Mgombea wa Urais visiwani Zanzibar kwa asilimia 66 ya kura zote.

Wagombea wengine katika mchakato huo walikuwa Eng. Mohamed Habib Mnyaa aliyepata asilimia 19 za kura na Rajab Mbarouk Mohamed aliyepata asilimia 15.

Kwa upande wa Tanzania, CUF imepitisha Prof. Ibrahim Lipumba ambaye aliungwa mkono na asilimia 97% wa Wajumbe.
1595917160282.png
1595917169488.png
 
Cuf ipi hiyo unaizungumzia hapa?
Kwa ujinga wenu wenyewe mlisha ihujumu cuf yenye heshima na sifa ya kuwa chama cha upinzani.

Kwa tamaa zenu na Lipumba mlikubali kuiuza cuf sasa imebakia na jengo tu na bendera tu. Mwaka huu nawahakikishia kuwa hata diwani mmoja hamto mpata.

Hiyo ndiyo dawa ya wasaliti popote duniani.
 
Cuf ipi hiyo unaizungumzia hapa?
Kwa ujinga wenu wenyewe mlisha ihujumu cuf yenye heshima na sifa ya kuwa chama cha upinzani.

Kwa tamaa zenu na Lipumba mlikubali kuiuza cuf sasa imebakia na jengo tu na bendera tu. Mwaka huu nawahakikishia kuwa hata diwani mmoja hamto mpata.

Hiyo ndiyo dawa ya wasaliti popote duniani.
nyinyi mliyo mpitisha lowasa kisha mkawaminisha watu kuwa huyu ni msafi ilihali mlikwisha sema ni fisadi ndio wapinzan wa kweli ama kweli nyan haon kundule
 
Cuf ilisha jimaliza yenyewe kwa kukubali kumrudisha kundini Lipumba
Chagueni hvi leo mutakae mtumikia, kama ni ccm basi ungeni mkono juhudi mazima, la hasha kama ni wananchi basi tumikieni wananchi na muache kutanguliza tumbo mbele
 
Back
Top Bottom