Jf Inataka hoja sio matusiStupid
Nimetukana hao sio jf, hii ni Chanel tuJf Inataka hoja sio matusi
Umedanganywa vibaya sana .mwisho wa chadema
Ah ah ati ccm ndo tumaini, tumaini kwa nanai?n labda kwako wewe, mkwe pia nyanya yako, hawa ccm wanaotoa majibu ya kebei ati km vyuma vimekaza tutie grisi? Lol.Mkutano mkuu wa CCM unaotarajiwa kuanza huko Dodoma unategemewa kuwa ni mkutano wa matumaini makubwa kwa wanachama wa chama hicho. Katika chaguzi mbali mbali za taasisi za chama hicho viongozi waliochaguliwa UVCCM, UWT na Wazazi viongozi waliochaguliwa wameonesha wanauwezo mkubwa wa kuziongoza taasisi hizo muhimu. CCM chini ya Mwenyekiti John Magufuli imeonyesha chama hicho kongwe ndio tumaini kwa maendeleo ya watanzania wote. Ni wajibu kwa wanachama wa chama hichokumpigia kura kwa wingi Mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli ili aendelee kuleta mabadiliko ndani na nje ya chama hicho kikubwa hapa nchini .
Tunawatakia wanachama wa CCM kila la kheri kwenye mkutano huo muhimu.