johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,768
- 141,632
Katibu wa siasa na sekretarieti wa CCM kanali Lubinga amesema mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya CCM utakutana July 11 na 12 kupitisha jina la mgombea Urais wa JMT Dkt. Magufuli na mgombea Urais wa Zanzibar.
Kadhalika mkutano huo utajadili na kupitisha Ilani ya uchaguzi ya CCM.
Pia kanali Lubinga ametolea ufafanuzi swala la Membe na kusema huyo siyo mwanachama wa CCM kwa sababu alishafukuzwa na kama bado ana mapenzi na chama hicho basi aombe uanachama upya.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Kadhalika mkutano huo utajadili na kupitisha Ilani ya uchaguzi ya CCM.
Pia kanali Lubinga ametolea ufafanuzi swala la Membe na kusema huyo siyo mwanachama wa CCM kwa sababu alishafukuzwa na kama bado ana mapenzi na chama hicho basi aombe uanachama upya.
Chanzo: Channel ten
Maendeleo hayana vyama!