Sawa hongera zao kwa kumpata mgombea,ukiumiza kichwa na siasa za Tanzania unaweza kufa mapema kwa kinyamazonge.View attachment 1442944
Mshaboresha taarifa zenu za mpiga kura?
Nafurahi kuona Mkutano mkuu wa TLP unaitishwa kumteua mwenyekiti wa CCM Kuwa mgombea wao wa urais. Naomba katibu mkuu wa CCM atuambie kama ashapokea barua ya Mwenyekiti wao kunjiuzuli nafasi yake na kuhamia TLP. Otherwise ni yaleyale ya Mwambe.Sawa hongera zao kwa kumpata mgombea,ukiumiza kichwa na siasa za Tanzania unaweza kufa mapema kwa kinyamazonge.
Mwezi wa tisa sio mbali utajifungua tuHivi ndivyo vyama vya kizalendo sio kile chama fulani hupinga kila Kitu
Hivi ndivyo vyama vya kizalendo sio kile chama fulani hupinga kila Kitu