K kibwaso JF-Expert Member May 11, 2013 627 135 May 24, 2014 #1 Kesho siku ya Jumapili ya tar.25.05.2014, JJ.Mnyika atakuwa kata ya Kigwe-BAHI.Vijana wapo moto maandalizi yanaendelea.
Kesho siku ya Jumapili ya tar.25.05.2014, JJ.Mnyika atakuwa kata ya Kigwe-BAHI.Vijana wapo moto maandalizi yanaendelea.
M Mutakyamirwa JF-Expert Member Jan 24, 2011 4,942 1,357 May 24, 2014 #2 kibwaso said: Kesho siku ya Jumapili ya tar.25.05.2014, JJ.Mnyika atakuwa kata ya Kigwe-BAHI.Vijana wapo moto maandalizi yanaendelea. Click to expand... Kila la kheri.
kibwaso said: Kesho siku ya Jumapili ya tar.25.05.2014, JJ.Mnyika atakuwa kata ya Kigwe-BAHI.Vijana wapo moto maandalizi yanaendelea. Click to expand... Kila la kheri.
WILLAFRICA JF-Expert Member Nov 12, 2013 4,027 930 May 24, 2014 #4 Tuko pamoja makamanda ni mwendo wa speed kali hadi magamba yaraluke yote. Huku ukawa kule mnyika. Hadi raha!
Tuko pamoja makamanda ni mwendo wa speed kali hadi magamba yaraluke yote. Huku ukawa kule mnyika. Hadi raha!
Deshmo JF-Expert Member Dec 20, 2012 4,806 4,253 May 24, 2014 #5 Huku Chadema, kule atletico madrid, mbona raha
N nkongu ndasu JF-Expert Member Jan 19, 2013 22,532 6,613 May 25, 2014 #6 Hongereni Bahi-dodoma, mmepata jembe la ubungo, msikilizeni kwa makini huyo kijana, ana mawazo chanya kweli! Hongera kamanda mnyika!
Hongereni Bahi-dodoma, mmepata jembe la ubungo, msikilizeni kwa makini huyo kijana, ana mawazo chanya kweli! Hongera kamanda mnyika!
A A4. JF-Expert Member Mar 16, 2014 670 108 May 25, 2014 #7 Tueleze lengo la mkutano, watu wavivu hata wakiitwa usiku wa manane kwenda kuwanga wataenda tu!
K kibwaso JF-Expert Member May 11, 2013 627 135 May 25, 2014 Thread starter #8 Ndugu A4 watu wavivu wa kujifunza hawapendi mijumuiko ya kupata elimu hadi wasikie kuna pilau