4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,978
- 6,782
Ni wale wale ,ambao hata Mseveni akifa kesho au kesho kutwa Kama ambavyo mungu anasema itakua, pamoja na Mambo ya kijangili anayoendelea kuwafanyia waganda , KWA kutumia dola , wanaona ,wanasikia, ila hakuna wa kukemea, lakini siku ya siku atakuja sifiwa tuHawa SADC waliokuwa wanamtetea MUGABE au wengine?