Mkurupuko Mwingine wa Kiutendaji Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,023
18,563
Idara ya Kazi Ofisi ya Waziri Mkuu imetoa tangazo la ajabu sana. Inasema kuna raia wa kigeni wanafanya kazi bila vibali vilivyotolewa kwa kufuata utaratibu.

Idara ya Kazi inasahau kwamba vibali hivyo vimetolewa na Idara ya serikali ya Tanzania, sio waajiri au waajiriwa wamejipa vibali. Sasa iweje Idara ya Uhamiaji itoe vibali bila kuzingatia taratibu, halafu serikali (Ofisi ya Waziri Mkuu) iwalaumu waajiri kuajiri watu wa nje bila vibali vilivyofuata taratibu?

Pili, ni usumbufu mkubwa kutoa amri kwamba waajiriwa wote wa nje wanapewa siku 30 kufikisha vibali vyao, vilivyotolewa na serikali, kwa ajili ya ukaguzi. Hii ni kusababisha vurugu za kipuuzi zisizo na msingi hasa kwa watu wenye vibali vilivyofuata taratibu. Wazungu wanasema "poor management on your part should not constitute my crisis".

Vibali vya kazi kwa watu wa nje vinatakiwa viwe vya miaka miwili au mitatu, na kuwa renewed ikibidi. Kama Idara ya Uhamiaji wamefanya madudu kutoa vibali, walipaswa kutoa the benefit of doubt kwa hao waajiriwa na kufanya uhakiki pale wanapokwenda kurenew vibali vyao, sio kuleta emergency measures sizizo na pua wala mdomo kwa sababu ya uzembe wenu watu wa Idara ya Uhamiaji.

Hii mikurupuko ya serikali, hasa ofisi kubwa kama ya Waziri Mkuu inatia aibu. Kama kuna madudu yamefanyika watumbueni walioyafanya sio kusumbua watu waliofadika na uzembe wa serikali.

Hivi nyie watu wa Idara ya Kazi Ofisi ya Waziri Mkuu mnajua hata ni watu gani nchini wanafanya kazi kwa vibali nchini, au mnajitamkia tu amri?

Mnamtia aibu Waziri Mkuu Kassim Majariwa ambaye tunamjua kuwa mtendaji makini sana.

NB: Suala la vibali vinahusu watu wengi sana katika nyanja nyingi sana - kuanzia kampuni za kutafuta gesi na mafuta kama Statoil; vyuo vikuu; mapailoti; aircraft engineers kutia ndani na hawa wanaowakilisha bombardier kama bado wapo; foreign investment projects; viwanda kama Dangote; mahoteli; mainjinia wa miradi ya serikali; mahospitali; taasisi za kidini; taasisi za misaada kama GIZ, DANIDA, SIDA, JICA, EU nk; Benki ya Dunia; EU Commission; idara za Umoja wa Mataifa; Idara za TV na Radio kama BBC and DW; Ofisi za Ubalozi; miradi ya ujenzi wa barabara; ma-ajenti wa kuuza magari; International schools, Mawakala wa clearing wa nchi kama Malawi, etc; Wasafirishaji kampuni za kigeni; Makampuni ya mafuta kama Engen; International NGOs, kampuni za meli, kampuni za ndege kama KLM, SAA, Turkish Airlines, Kenya Airways nk, wachezaji mpira, makocha, nk.
 
Inaonyesha wewe ni RAIA wa Msumbiji na unaishi kwa ujanjaujanja..... Kuhakiki ni utaratibu wa kawaida wa serikali..
 
Labda wanataka kulipa kisasi kwa raia wa msumbiji

Hiyo ndio utakuwa utendaji wa maafande wale green kwanja wa darasa la saba tukiwa JKT. Wakikataliwa na kuruta basi kombania nzima mnaipata.

Naona watu hawajui ni taasisi zipi zina watu wanafanya kazi kwa vibali - huenda hata hiyo Ofisi ya Waziri Mkuu haijui ndio maana wanakurupuka kutoa amri. Suala la vibali vinahusu watu wengi sana katika nyanja nyingi sana - kuanzia kampuni za kutafuta gesi na mafuta kama Statoil; vyuo vikuu; mapailoti; aircraft engineers kutia ndani na hawa wanaowakilisha bombardier kama bado wapo; foreign investment projects; viwanda kama Dangote; mahoteli; mainjinia wa miradi ya serikali; mahospitali; taasisi za kidini; taasisi za misaada kama GIZ, DANIDA, SIDA, JICA, EU nk; Benki ya Dunia; EU Commission; idara za Umoja wa Mataifa; Idara za TV na Radio kama BBC and DW; Ofisi za Ubalozi; miradi ya ujenzi wa barabara; ma-ajenti wa kuuza magari; International schools, nk.

Sasa ndio maana nikasema, huu usumbufu ni wa lazima? Leo unawaambia watu wote hao eti wana mwezi mmoja kupeleka vibali vyao vya kazi nchini kwa sababu idara yako ya serikali imefanya mambo ya kijinga?
 
Idara ya Kazi Ofisi ya Waziri Mkuu imetoa tangazo la ajabu sana. Inasema kuna raia wa kigeni wanafanya kazi bila vibali vilivyotolewa kwa kufuata utaratibu.

Idara ya Kazi inasahau kwamba vibali hivyo vimetolewa na Idara ya serikali ya Tanzania, sio waajiri au waajiriwa wamejipa vibali. Sasa iweje Idara ya Uhamiaji itoe vibali bila kuzingatia taratibu, halafu serikali (Ofisi ya Waziri Mkuu) iwalaumu waajiri kuajiri watu wa nje bila vibali vilivyofuata taratibu?

Pili, ni usumbufu mkubwa kutoa amri kwamba waajiriwa wote wa nje wanapewa siku 30 kufikisha vibali vyao, vilivyotolewa na serikali, kwa ajili ya ukaguzi. Hii ni kusababisha vurugu za kipuuzi zisizo na msingi hasa kwa watu wenye vibali vilivyofuata taratibu. Wazungu wanasema "poor management on your part should not constitute my crisis".

Vibali vya kazi kwa watu wa nje vinatakiwa viwe vya miaka miwili au mitatu, na kuwa renewed ikibidi. Kama Idara ya Uhamiaji wamefanya madudu kutoa vibali, walipaswa kutoa the benefit of doubt kwa hao waajiriwa na kufanya uhakiki pale wanapokwenda kurenew vibali vyao, sio kuleta emergency measures sizizo na pua wala mdomo kwa sababu ya uzembe wenu watu wa Idara ya Uhamiaji.

Hii mikurupuko ya serikali, hasa ofisi kubwa kama ya Waziri Mkuu inatia aibu. Kama kuna madudu yamefanyika watumbueni walioyafanya sio kusumbua watu waliofadika na uzembe wa serikali.

Mnamtia aibu Waziri Mkuu Kassim Majariwa ambaye tunamjua kuwa mtendaji makini sana.

Kuhakiki ni kitu cha kawaida duniani kote. Nenda kahakiki kama hutaki kuhakiki nenda kwenu kafanyekazi. Leo Marekani wanahakiki wahamiaji huko kwako kwa nini hawalalamiki. Kama ulipata kibali cha magumashi imekula kwako!
 
Kuhakiki ni kitu cha kawaida duniani kote. Nenda kahakiki kama hutaki kuhakiki nenda kwenu kafanyekazi. Leo Marekani wanahakiki wahamiaji huko kwako kwa nini hawalalamiki. Kama ulipata kibali cha magumashi imekula kwako!

Na wewe ni mjinga mwingine wa masuala ya vibali vya kazi unatakiwa uelimishwe uelewe. Kibali kikitolewa hakuna suala la kuhakikiwa sijui baadaye. Ukakiki unafanywa wakati wa kutoa kibali, hasa mara ya kwanza, kama part ya application process. Kama vinahakikiwa kwa nini watoe tangazo na kusema wanapewa siku 30? Si basi wangesema kwa kuwa vinahakikiwa haina tatizo? Kama huna pointi kaa kimya.

Wewe unafikiri vibali ni kwa ajili ya biashara za wahindi na wachina tu?
 
Hiyo ndio utakuwa utendaji wa maafande wale green kwanja wa darasa la saba tukiwa JKT. Wakikataliwa na kuruta basi kombania nzima mnaipata.

Naona watu hawajui ni taasisi zipi zina watu wanafanya kazi kwa vibali - huenda hata hiyo Ofisi ya Waziri Mkuu haijui ndio maana wanakurupuka kutoa amri. Suala la vibali vinahusu watu wengi sana katika nyanja nyingi sana - kuanzia kampuni za kutafuta gesi na mafuta kama Staoil; vyuo vikuu; mapailoti; aircraft engineers kutia ndani na hawa wanaowakilisha bombardier kama bado wapo; foreign investment projects; viwanda kama Dangote; mahoteli; mainjinia wa miradi ya serikali; mahospitali; taasisi za kidini; taasisi za misaada kama GIZ, DANIDA, SIDA, JICA, EU nk; Benki ya Dunia; EU Commission; idara za Umoja wa Mataifa; Idara za TV na Radio kama BBC and DW; Ofisi za Ubalozi; miradi ya ujenzi wa barabara; ma-ajenti wa kuuza magari; International schools, nk.

Sasa ndio maana nikasema, huu usumbufu ni wa lazima? Leo unawaambia watu wote hao eti wana mwezi mmoja kupeleka vibali vyao vya kazi nchini kwa sababu idara yako ya serikali imefanya mambo ya kijinga?

Acha uongo ni kazi ndogo sana hiyo inafanywa na HR tu kwa kupeleka hicho kibali na kuhakikiwa.
 
Acha uongo ni kazi ndogo sana hiyo inafanywa na HR tu kwa kupeleka hicho kibali na kuhakikiwa.

Elimu ni ufunguo wa maisha na kuwa na busara katika kuchangia mada mbalimbali katika jamii. Zingatia hilo.
 
Na wewe ni mjinga mwingine wa masuala ya vibali vya kazi unatakiwa uelimishwe uelewe. Kibali kikitolewa hakuna suala la kuhakikiwa sijui baadaye. Ukakiki unafanywa wakati wa kutoa kibali, hasa mara ya kwanza, kama part ya application process. Kama vinahakikiwa kwa nini watoe tangazo na kusema wanapewa siku 30? Si basi wangesema kwa kuwa vinahakikiwa haina tatizo? Kama huna pointi kaa kimya.

Wewe unafikiri vibali ni kwa ajili ya biashara za wahindi na wachina tu?

Verification is a process, you can verify at any stage, this is one of the control.... Mimi siwezi kukuita mjinga kama ulivyoniita mimi ila nachoweza kusema labda umepitiwa tu mwelevu wewe!!
 
Verification is a process, you can verify at any stage, this is one of the control.... Mimi siwezi kukuita mjinga kama ulivyoniita mimi ila nachoweza kusema labda umepitiwa tu mwelevu wewe!!

Nasisitiza - ondoa ujinga, uliza watu wanaofanya kazi kwa vibali wakuambie
 
Nasisitiza - ondoa ujinga, uliza watu wanaofanya kazi kwa vibali wakuambie
Hujuwi kitu mimi niko kwenye kazi hiyo na kila mara nafanyakazi ya kupeleka na kuhakiki vibali vya wafanyakazi wetu hapa kwenye project za USAID na hakuna matatizo kama unavyodai. You seems you know nothing about it!!!
 
Hujuwi kitu mimi niko kwenye kazi hiyo na kila mara nafanyakazi ya kupeleka na kuhakiki vibali vya wafanyakazi wetu hapa kwenye project za USAID na hakuna matatizo kama unavyodai. You seems you know nothing about it!!!
Nimekuuliza swali hujajibu; kama ni routine process kama unavosema mnafanya, kwa nini watoe tangazo la siku 30? Una maana Idara ya Kazi imetoa tangazo kwa kitu ambacho tayari kina ukawaida wa kufanyika? Ili iweje? You are talking non-sense.
 
Nimekuuliza swali hujajibu; kama ni routine process kama unavosema mnafanya, kwa nini watoe tangazo la siku 30? Una maana Idara ya Kazi imetoa tangazo kwa kitu ambacho tayari kina ukawaida wa kufanyika? Ili iweje? You are talking non-sense.
"DON'T ....... WITH A FOO.... PEOPLE MIGHT NOT NOTICE THE DIFFERENCE.....!!!"
 
"DON'T ....... WITH A FOO.... PEOPLE MIGHT NOT NOTICE THE DIFFERENCE.....!!!"

Thanks a lot for such wise words! That is the only intelligent thing you have said so far - congratulations! I will take your advice and stop arguing with a fool.
 
Watakua wameiga kutoka TRA jinsi walivyofanya uhakiki wa TIN na kusababisha usumbufu na kupoteza muda wa kuzalisha, walishindwa kusubiri mtu anapoenda kurenew leseni au kulipa mapato yake afanye ba uhakiki?
Kupotezeana muda ni mfumo tuliojijengea kama taifa.
Ila kwny hili la vibali inatakiwa umakini.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom