Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,205
- 42,067
Huwa sipendi kusoma nyuzi kama hizi aiseeee....
Maana hua najiuliza maswali mengi na mwisho wa siki najikuta nang'ata meno kwa hasira tu...
Hata mimi huwa napandwa na hasira sana nikikuta nyuzi kama hizi aiseee maana kama tukio hili litanikuta mimi basi na kazi nitafukuzwa siku hiyo hiyo kamwe siwezi kukubali kuwa ng’ombe namna hii yani unapigwa tuu na wewe upo upo tuu