Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
TUnaweza kuanza na hawawazo lako zuri,kwani wale mawaziri wameshafikishwa?????
TUnaweza kuanza na hawawazo lako zuri,kwani wale mawaziri wameshafikishwa?????
kuburuzwa mahakama ipi? tanzania ukiiba mali ya umma unasimashwa kazi au unahamishiwa idara nyingine,ref jairo,
Hivi unafikiri huyo Obeid ana nguvu/mamlaka gani? Kuruhusu DEGE LA KIJESHI kuingia nchini na kuondoka bila vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi kujua?!! Kama ni ufisadi wa kutorosha wanyama nje ya nchi, I bet my neck Obeid ametolewa kama mbuzi wa kafara. Haiwezekani KAMWE ndege ya kijeshi kuingia katika anga letu bila CDF kujua au Commander in Chief of the armed forces kujua.
Twataka alieruhusu ile ndege kutua na kusubiria pale wanyama week nzima!
Hawa hawakusimamishwa, wamefukuzwa ikimaanisha kuwa wameonekana (na kuthibitika) kuwa wana makosa makubwakuburuzwa mahakama ipi? tanzania ukiiba mali ya umma unasimashwa kazi au unahamishiwa idara nyingine,ref jairo,
Mtu kushangilia hatua hii ni kutoona upeo kamili wa skandali hili. Hapa ni zaidi ya "wizi" wa kawaida wa maliasili. Huu sio ujangili wa kawaida. Ni ngazi ya Ikulu (na Usalama wa Taifa) tu ndio wanaoweza kuondoa wingu hili. Na wana watu sehemu zote zilizohusika na mwondoko mzima.
Hivyo, Kuanzia watendaji wakuu Wizarani hadi ngazi za Ikulu hawana budi kuanguka na kisha Ikulu ikatolea ufafanuzi wa sakata zima na hata, ikibidi, kutuahidi kwamba hujuma ya aina hii (kwa maliasili na usalama wa nchi yetu) haitajirudia tena.
Manake ni kama hatuna nchi vile bali mkusanyiko wa watu maslahi binafsi tu. Ukiunganisha na mapya kama ya kupepeza bendera ya nchi kwenye meli za Iran - hatuna nchi hapa!
We certainly need to rein in the guys at the very top. Nini kuishia kumtimua kazi Mkurugenzi wa Wanyama Pori na watendaji wenzake?
Hivi unafikiri huyo Obeid ana nguvu/mamlaka gani? Kuruhusu DEGE LA KIJESHI kuingia nchini na kuondoka bila vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi kujua?!! Kama ni ufisadi wa kutorosha wanyama nje ya nchi, I bet my neck Obeid ametolewa kama mbuzi wa kafara. Haiwezekani KAMWE ndege ya kijeshi kuingia katika anga letu bila CDF kujua au Commander in Chief of the armed forces kujua.
Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Obeid Mbangwa, amefukuzwa kazi. Wengine ni Frank Mlemi na Simon Wella. Kosa lao ni la kujihusisha na ufisadi usafirishaji wanyamapori nje ya nchi. Kufukuzwa kwao kumetengazwa asubuhi hii na Waziri Kagasheki, Dodoma
Jamani, juyo jamaa ana uwezo wa kuruhusu Ndege za kupakia twiga zitue KIA?
Huyo jamaa sio Mbuzi wa kafara kama bwana Mhando?
Nani ana uwezo wa kuruhusu ndege za nchi nyingine kutua nchini, na kuondoka na Twiga?
Bwana Kagasheki, unasema kweli???
mmmh, watz mtaelewa lini sinema????
Washakupiga chenga?
Wamefukuza vidagaa au mapapa?
Nd'o nashanga!!!!!!!!!!!!!mmmh, watz mtaelewa lini sinema????
Washakupiga chenga?
Wamefukuza vidagaa au mapapa?
Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Obeid Mbangwa, amefukuzwa kazi. Wengine ni Frank Mlemi na Simon Wella. Kosa lao ni la kujihusisha na ufisadi usafirishaji wanyamapori nje ya nchi. Kufukuzwa kwao kumetengazwa asubuhi hii na Waziri Kagasheki, Dodoma
Hatimaye wauzaji wa wanyama wetu wafukuzwa kazi.
Waziri Nyalandu amewafukuza kazi wauzaji wa twiga na wanyama wengine.
Akizungumza na waandishi habari leo.
SOURCE: Star tv.