Hii kali ya mwaka kwelikweli maana kufukuza watu 2 sioni kama ndio kumaliza tatizo la corruption in public sector that is rampant no doubt about it. Waziri kama kachukua uamuzi huo ni uonevu wa mkubwa maana huu utoroshaji wa wanyama hai akiwemo twiga ni kitu ambayo ina involve chain kubwa.
Wako wapi usalama wa Taifa, PCCB, Polisi, Mamlaka ya viwanja vya ndege, Mamlaka ya usafiri wa anga (TCAA)Mamlaka ya Mapato ambao by virtue of checking should have approved list of what has to be imported and what what purpose.
When are the stakeholders in this saga. Walifanya nini kuzuia aibu hii isitokee. Ndege ya kijeshi ilitua kwanza ahalafu ndio twiga wakawindwa? Iliomba kibali kwa nani maana mkurugenzi wa wanyama poli asingweza kufanya hivyo.
Wadau naomba ili swala lifanyiwe scrutiny zaidi maana inaonyesha kuna yaliyofichwa na wanataka yaishie chini ya busati. NO! Tanzanians have been made cheap for so long by ruling and state functionaries but it's time to query to the apex of our voices.
Vyombo vya habari pazeni sauti kama ilivyofanya RAIA Mwema ili tufukue mengi na tupate majibu ya kina yanayolenga kutibu hiki kilema cha wizi.
Wako wapi usalama wa Taifa, PCCB, Polisi, Mamlaka ya viwanja vya ndege, Mamlaka ya usafiri wa anga (TCAA)Mamlaka ya Mapato ambao by virtue of checking should have approved list of what has to be imported and what what purpose.
When are the stakeholders in this saga. Walifanya nini kuzuia aibu hii isitokee. Ndege ya kijeshi ilitua kwanza ahalafu ndio twiga wakawindwa? Iliomba kibali kwa nani maana mkurugenzi wa wanyama poli asingweza kufanya hivyo.
Wadau naomba ili swala lifanyiwe scrutiny zaidi maana inaonyesha kuna yaliyofichwa na wanataka yaishie chini ya busati. NO! Tanzanians have been made cheap for so long by ruling and state functionaries but it's time to query to the apex of our voices.
Vyombo vya habari pazeni sauti kama ilivyofanya RAIA Mwema ili tufukue mengi na tupate majibu ya kina yanayolenga kutibu hiki kilema cha wizi.