Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Safi sana Balozi Kagasheki ingawa uamuzi umekuja umechelewa kusanya ushahidi uwapeleke mahakamani hamna kucheka na wezi wa rasilimali zetu.
Kweli mkuu, ila na aliyeruhusu ndege ya jeshi la nchi nyingine naye tumburuze mahakamani, hapo kweli tutakuwa objective!