BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,355
- 8,042
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halamshauri wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Nassib Bakari Mmbaga ili kupisha Uchunguzi.
Waziri Bashungwa amechukua hatua hiyo baada Mkurugenzi huyo kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo pamoja na utendaji kazi usioridhisha.
Waziri Bashungwa amechukua hatua hiyo baada Mkurugenzi huyo kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo pamoja na utendaji kazi usioridhisha.