Mkurugenzi wa Wilaya ya Mbozi, acha kuihujumu halmashauri yetu

kudamademede

Member
Jan 1, 2020
62
241
Mkurugenzi wa Halimashauri wa Wilaya ya Mbozi unaihujumu halmashauri. Tangu umeletwa Mbozi maendeleo nayo yamezolota hunaushirikiano mzuri na sisi madiwani; fedha za maendeleo umezifanya za kwako hatutakubali kabisa.

Tumeshindwa kuendeleza shule zilizotakiwa ziwe High School kwa sababu yako. Umekuwa mbishi. Hao wanao kushauri mambo ya hovyo hawatakufikisha popote; hii ni halmmashauri yetu, kwanini hushirikiani na sisi madiwani au kwasababu una element za upinzani?

Pia umeanza siasa, unashirirkiana na wanaotaka kugombea ubunge tunakuangalia sana.
 
Madiwani ni kawaida yenu kwa majungu. Na hasa mkimpata Mkurugenzi anayewaminya kwenye mianya yenu ya kupiga pesa. Hapo umeleta majungu.Ki ukweli mi ningekuwa Raisi, ningefuta kabisa habari ya madiwani. Hamna kazi yoyote zaidi ya kupiga pesa. Kibaya zaidi wengi wenu Shule hamna, na hamjui majukumu yenu. Mkurugenzi endelea kuwabana hao, hadi waombe pooo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madiwani ni kawaida yenu kwa majungu.Na hasa mkimpata Mkurugenzi anayewaminya kwenye mianya yenu ya kupiga pesa.Hapo umeleta majungu.Ki ukweli mi ningekuwa Raisi,ningefuta kabisa habari ya madiwani.Hamna kazi yoyote zaidi ya kupiga pesa.Kibaya zaidi wengi wenu Shule hamna,na hamjui majukumu yenu.Mkurugenzi endelea kuwabana hao,Hadi waombe pooo

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupotosha sisi ndio tunaujua ukweli huyu Mkurugenzi aliasimamishwa kazi huko kigoma baada ya mda kupita ndio akaletwa huku kwetu hatu wachukii wakurugenzi ila huyu amekuwa ni jipu na kero kwetu
 
Back
Top Bottom