Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,074
- 5,911
Kasajili Idea COSOTA bossWhat a wonderful idea, bravo
Kasajili Idea COSOTA bossWhat a wonderful idea, bravo
Ndo ujifunze sasa kuwa kufuatilia mambo yasiyokuhusu ni dalili za umbeaSikumbuki kama ulisema usingehitaji kujibiwa na mwingineyo tofauti na chaguo lako.
"Ukimwona mnyama anazunguka palepale tu kwenye eneo lake la machungo kula majani wala hata haondoki kwenda sehemu nyingine, bila shaka kuna moja kati ya mawili: Ama amefungwa kamba shingoni na wenyewe wenye mali yao au "amefungwa komba akili" na wenyewe wenye mila yao."~ AnonymousNdo ujifunze sasa kuwa kufuatilia mambo yasiyokuhusu ni dalili za umbea
A na B yanaweza kuwa majibu sahihi. Inategemea na akili ya mmiliki, au/na akili ya aliyetafsiri dhana hiyo."Ukimwona mnyama anazunguka palepale tu kwenye eneo lake la machungo kula majani wala hata haondoki kwenda sehemu nyingine, bila shaka kuna moja kati ya mawili: Ama amefungwa kamba shingoni na wenyewe wenye mali yao au "amefungwa komba akili" na wenyewe wenye mila yao."~ Anonymous
Lipa kwa uthibitisho kisha atatuma pesa taslim TSH 500,000/=Mnunuzi ataingia kwenye kipengele cha Lipa kwa uthibitisho kisha atatuma pesa taslim TSH 500,000/= kwenda kwenye namba ya Muuzaji 07567563890 kwa ajili ya ununuzi wa TV
Mnunuzi atapokea meseji ya uthibitisho kwamba muamala umefika kwa muuzaji, meseji itaambatana na namba ya uthibitisho labda 7689
Huku kwa Muuzaji, nayeye atapokea muamala wa TSH 5000000/= kutoka kwenye namba ya Mnunuzi 06517271992
Muamala huo utaambatana na namba ya uthibitisho, labda 8126