JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
Shirika linatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa marafiki na watu wote walioguswa na msiba huu. Taarifa ya mazishi itatolewa kwa wafanyakazi wa Shirika mara baada ya kujulishwa na familia.
Bwana ametoa,Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Imetolewa na Mkurugenzi Mkuu,
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania.