Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Wewe ndio unaonesha umelewa maana huelewi.....!!!Umeshalewa sana hizi
Wewe ndio unaonesha umelewa maana huelewi.....!!!Umeshalewa sana hizi
Kila mtu anataka kupiga kama waliyowatangulia hakuna anayetaka kubakiHii nchi sijui itaacha kupigwa lini
View attachment 1738405
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jenerali John Mbungo amethibitisha taasisi hiyo kumshikilia kwa mahojiano Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Deusdedit Kakoko aliyesimamishwa kazi na Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan.
Hivi Karibuni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alimsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini TPA Mhandisi Deusdedit Kakoko, kupisha uchunguzi wa ubadhirifu wa fedha bandarini.
Rais Samia alifanya uamuzi huo Jumapili, Machi 28, 2021 baada ya kupokea ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Takukuru Ikulu ya Chamwino, Dodoma.
“Ripoti nimeona, nimeipitia na nimebaini ubadhirifu mkubwa uliofanywa pale bandari, hili suala mnatakiwa kushirikiana, nakuomba Takukuru jishughulishe pale, alipita Waziri Mkuu alilishughulikia.
“Waziri Mkuu aliunda kamati na wakafanya uchunguzi kidogo ambao yaliyotoka, hatua chache zilichukuliwa lakini imani yangu ni kwamba kama kuna ubadhirifu pale waliosimamishwa ni hawa wa chini huku, ninaomba mara moja nitoe agizo la kumsimamisha Mkurugenzi Mkuu wa Bandari halafu hatua zaidi ziendelee,” alisema Rais Samia.
Ilikuwa hvy mkuu huy bwana alikuwa anachenga anawauzia masara wachin koo hayati mh alikuwa akifika inaonekana yeye yuko sahihi kutimuliwa kunamkosa sasa mwisho wake umewadia maana kasabisha wengi sana kuondokaHuyo jamaa inaonekana alikuwa mpigaji, kajificha kwenye kichaka cha kuaminiwa na Magufuli. TAKUKURU endeleni kuusaka uhalifu wote na mtandao huo uliokuwa TPA.
Umeona eee! Bunge halijawahi kupitisha bajeti yake. Inaonekana huyu Kakoko alikuwa mshirika wa mwendazake... bora wapotezee tu maana Jua laweza kugeuza direction; likaanzia West to East! Miradi ile itakuwa na madudu ya hatari!
... fikiria mtu akihemuka anagawa fedha mabarabarani hadi unajiuliza ni mshahara wake au zinatoka fungu gani hizi? Hakuna kanuni yoyote ya fedha inayoruhusu kitu kama hicho!Umeona eee! Bunge halijawahi kupitisha bajeti yake. Inaonekana huyu Kakoko alikuwa mshirika wa mwendazake