Hapo mwanzo udini haukuwepo?Nchi inaenda kuangukia kwenye udini tatizo muda tu
Wakalimani tupo tunawaangalia
Nikumbushe mkuu..Shujaa unayemuongelea hapa yupi? SHUJAA wa msalaba Yesu au?Hivi kama asingefariki shujaa, huyu angeendelea kukwapua tu mzigo si ndiyo jamani. Hatari sana aisee!
Hakuna kazi hapo ni CCM Comedians @ work....!!! Kumbuka huyu Kakoko a.k.a. Kigogo alikuwa mteuls wa Jiwe ns alisifiwa sana. Likely walikuwa na mahusiano ya kaaaribu sana na Jiwe....!!!Kazi inaendelea au ni maigizo yale yale tu.
Nchi ngumu sana hii kuielewaHakuna kazi hapo ni CCM Comedians @ work....!!! Kumbuka huyu Kakoko a.k.a. Kigogo alikuwa mteuls wa Jiwe ns alisifiwa sana. Likely walikuwa na mahusiano ya kaaaribu sana na Jiwe....!!!
Mama hatakiuka nyayo za marehemu Jiwe......ule msemo wa "Ndege wa Unyoya mmoja huruka pamoja".
Miradi ya IKulu ya Jiwe Chato, Uwanja wa ndege Chato, Mbuga mpya ya Wanyama Chato(a.k.a Burigi), Barabara za lami na Mataa Chato, zingejengwaje bila ya Jiwe kuweka watu wake sehemu nyeti za Fedha kama Bandari(Kakoko), Hazina(Dotto James) ili wawe wanamtafutia pesa zilizo nje ya mfumo wa Bajeti?Wajinga waliamini kuwa mafisadi wamekomeshwa kumbe wachache wanajilia keki ya taifa kimya kimya wakiongozwa na mkuu wao.
Very likely huyu jamaa walikuwa karibu sana na Magufuli na yawezekana kulikuwa na makubaliano maalumu katika Upigaji huu siyo bure!!!Huyo jamaa inaonekana alikuwa mpigaji, kajificha kwenye kichaka cha kuaminiwa na Magufuli. TAKUKURU endeleni kuusaka uhalifu wote na mtandao huo uliokuwa TPA.
Wewe nzi wa kijani ndo unaanza au?Mataga mumeanza 😁
TAKUKURU ndio wanatakiwa watujuze....!!!!Vip kuna taarifa kuwa kapekuliwa nyumbani kakutwa na begi lenye mihela kibao zina ukweli hizi wakuu?
Mkuu hujui kuwa Jiwe ndiye alikuwa anawakingia kifua na neno lake ndilo lilikuwa final. Acha aende Mungu kaliponya Taifa, jamaa alikuwa anajificha kwenye kichaka cha uzalendo uchwara kumbe jizi pia.Hivi idara nyeti kama hizi huwa zinakosa watu wa usalama wa taifa ili kufuatilia nyendo za wapiga dili kama hawa?
Umeshalewa sana hiziWewe nzi wa kijani ndo unaanza au?
Yaani watu kuhoji kwanini huyu Kigogo alikuwa anaendelea piga hata chini ya Utawala wa Jiwe ni kosa? Mwalimu alikuwa akisema, ALIYEPOKEA, ALIYEYOA AWE MWISLAMU AU MKRISTO WOTE MAZI GA NYAZA..."
Hapa hatuangalii UDINI baali KATIBA NA SHERIA ZINASEMAJE. Usianze kutubeba kwenye gari la UDINI NA UKABILA.....!!!
Nyambaf.
Mwingine anayetakiwa kuchunguzwa kwa kina ni dpp. Naye, wahusika wanasema ametumika sana na yeye kujitajirisha vilivyo kupitia pesa ya waliokuwa wanalazimishwa kukiri makosa.Untouchables now wanaisoma namba kweli hii ndio nchi iliyokua inahubiriwa uzalendo na mtakatifu mwendazake, nadhani bado yule mzee kiwete wa TANROADS yule atakua na hela kuliko Cyril Ramaphosa wa SA, believe me, kwakua alikua anakwapua anampelekea mfalme sasa kwakua yeye sio mjinga anachukua chake mapema kabla hajampelekea mzee mzigo,
Mwaka huu taifa litainuka na uchafu wooote utaanza kuonekana, kumbe walikua wanatoa mapovu sijui uzalendo sijui mababeru sijui madume kumbe ilikua gia ya kujificha wasihojiwe loh Tanzania nchi yangu.
Untouchables now wanaisoma namba kweli hii ndio nchi iliyokua inahubiriwa uzalendo na mtakatifu mwendazake, nadhani bado yule mzee kiwete wa TANROADS yule atakua na hela kuliko Cyril Ramaphosa wa SA, believe me, kwakua alikua anakwapua anampelekea mfalme sasa kwakua yeye sio mjinga anachukua chake mapema kabla hajampelekea mzee mzigo,
Mwaka huu taifa litainuka na uchafu wooote utaanza kuonekana, kumbe walikua wanatoa mapovu sijui uzalendo sijui mababeru sijui madume kumbe ilikua gia ya kujificha wasihojiwe loh Tanzania nchi yangu.