Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
this is soo not fair! kwanini waliwadanganya wananchi kuwa wataonyesha kisha sasa wanasema hawaonyeshi?
angalau basi watu wangesema wapema wakajipanga......................hivi akina mama wenye watoto wadogo nao pia wende wakajipange bar kutizama mpira? au hawana haki?
sawa tbc inataka kwenda kibiashara...........lakini biashara pia lazima uitangaze na umwambie mteja mapema. hvi kushtukizwa hivi kuwa lazima ununue vifaa mbavyo vinapatikana mikoa mitatu tu ni sawa?
kisha mnataka kujifanya tz mnapenda sana soka kiasi cha kupoteza mamilioni ya pesa kuleta brazil.
angalau basi watu wangesema wapema wakajipanga......................hivi akina mama wenye watoto wadogo nao pia wende wakajipange bar kutizama mpira? au hawana haki?
sawa tbc inataka kwenda kibiashara...........lakini biashara pia lazima uitangaze na umwambie mteja mapema. hvi kushtukizwa hivi kuwa lazima ununue vifaa mbavyo vinapatikana mikoa mitatu tu ni sawa?
kisha mnataka kujifanya tz mnapenda sana soka kiasi cha kupoteza mamilioni ya pesa kuleta brazil.