Mkurugenzi wa Tarime mjini apata ajali Manyoni Singida

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,174
4,062
Taarifa ya ajali Manyoni, Singida.

Jamani hii ajali mbaya nimeishuhudia nipo kwenye Nyehunge ya Mwanza kuja Morogoro mjini duuhh mbaya sana imehusisha fuso moja hivi nayo tairi za mbele zote zimechomoka ndio chanzo cha ajali hii.

=====
Mkurugenzi wa Tarime Mjini amepata Ajali mbaya sana maeneo ya Manyoni, Dereva na Afisa Maendeleo ya Jamii wamefariki papo hapo, Mkurugenzi na Afisa Mipango wapo Hospitali kwa matibabu.

1.jpg
2.jpg
FB_IMG_1610432172793.jpg

FB_IMG_1610432916163.jpg
 
Taarifa ya ajali Manyoni, Singida.

Jamani hii ajali mbaya nimeishuhudia nipo kwenye Nyehunge ya Mwanza kuja Morogoro mjini duuhh mbaya sana imehusisha fuso moja hivi nayo tairi za mbele zote zimechomoka ndio chanzo cha ajali hii.

=====
Mkurugenzi wa Tarime Mjini amepata Ajali mbaya sana maeneo ya Manyoni, Dereva na Afisa Maendeleo ya Jamii wamefariki papo hapo, Mkurugenzi na Afisa Mipango wapo Hospitali kwa matibabu.
Poleni.

Matiko na Heche!
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom