The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,451
- 17,154
Wanasema Nigeria vituko na matukio yasiyo ya kawaida ni vitu ambavyo sio vipya na vinatokea mara kwa mara
Mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa bwana Ibrahim Magu amekamatwa kwa rushwa
Bwana Magu amekua mkuu wa taasisi hiyo toka mwaka 2015
Nigeria’s anti-corruption boss arrested for corruption - The Mail & Guardian
Mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa bwana Ibrahim Magu amekamatwa kwa rushwa
Bwana Magu amekua mkuu wa taasisi hiyo toka mwaka 2015
Nigeria’s anti-corruption boss arrested for corruption - The Mail & Guardian