TANZIA Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), Profesa Damian Gabagambi afariki dunia

Mocumentary

JF-Expert Member
Jul 31, 2017
768
1,959
MKURUGENZI wa Shirika la
Maendeleo la Taifa (NDC), Profesa
Damian Gabagambi amefariki dunia hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo.

Awali kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa NDC alikua Muadhiri,Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine(SUA).

Msiba upo nyumbani kwake Masaki

Damian.jpg
 
Back
Top Bottom