We acha tuWenye makesi makubwa makubwa wote wataachiwa kwa mtindo huu, watabaki wenye kesi za kuiba kuku tu!
We acha tuWenye makesi makubwa makubwa wote wataachiwa kwa mtindo huu, watabaki wenye kesi za kuiba kuku tu!
Wanaogopa watasakamwa wote.Waislamu kuweni na huruma huyo mama Yaani mahakamani yuko peke yake kama yatima hana ndugu au mtoto wa kumzaa?
= watakiri
Wewe hata bichwa la habari limeandikwa kukili, hapo hapo unaandika ajabu zako.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Wanaogopa watasakamwa wote.Waislamu kuweni na huruma huyo mama Yaani mahakamani yuko peke yake kama yatima hana ndugu au mtoto wa kumzaa?
kuku maji mama yakoMbona unakurupuka mi nimesema inanisaidia kitu....kuku maji wew
kuku maji mama yako
Waislamu kuweni na huruma huyo mama Yaani mahakamani yuko peke yake kama yatima hana ndugu au mtoto wa kumzaa?
Nimekukubali wewe kwa hiyo unataka kwa hukumu ya kiislamu ahukumiwaje baada ya kukiri kosa.Kurani imeagiza nini?Wanaogopa watasakamwa wote.
Ni heri afilisiwe mmoja kuliko ukoo mzima.
Kama alifanya makosa ndiyo ajielewe na apate fundisho. Moja katika makosa makubwa kwenye mafundisho ya Uislam ni ufisadi.
Atubu sana kwa Allah na asirudie.
NAKWAMBIA KUKUMAJI NI MAMAYAKO. NIMEMALIZAExactly kama wewe vile....
Kwann unasema Waislam.....?!!!Waislamu kuweni na huruma huyo mama Yaani mahakamani yuko peke yake kama yatima hana ndugu au mtoto wa kumzaa?
Exactly kama wewe vile....NAKWAMBIA KUKUMAJI NI MAMAYAKO. NIMEMALIZA
Kuna zingine alichangia kujenga misikiti.Hapo unasemaje.Alikuwa akifuatwa sana kuchangia misikiti na shughuli za misikitini huyoSheria haiangalii dini
Kama pesa za ufisadi alikuwa anahonga unadhani atatokea nani
Ni muumini waoKwann unasema Waislam.....?!!!
Waislam wana nn juu ya haya yanayoendelea?!!!
Basi kasaidie kuikamata na hiyo MisikitiKuna zingine alichangia kujenga misikiti.Hapo unasemaje.Alikuwa akifuatwa sana kuchangia misikiti na shughuli za misikitini huyo
Muumini katika lipi Chief?Ni muumini wao
MWANAMKE ANAKIRI KUPIGA BIL +Warudishe fedha walizoibia wananchi